Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

KIGODORO Sehemu ya Tano

.
.
MTUNZI HSNS CHARLZ
INSTAGRAM @hanscharlz @storynzuri 
whtsap +255652486818
SEHEMU YA TANO
MIPANGO YA KUWEZA KUMZIBITI ILIPANGWA
Ndipo walipo beba mawe na fimbo ili ziwasaidie pindi wakutanapo na JITU lile, watu walizidi kutawanyika huku na kule nalo JITU lilikuwa likipata wakati mgumu mno kuwakamata watu hao licha ya kuwabeba watu Zaidi ya watatu kwenye mkono nao aliokuwa akikuta nao alikuwa akiwabeba na wengine kuwakata vichwa na kuwatupaaaaa.
“umemuona yuleeee” ilisikika sauti ya MWANTUMU ikimwelekeza KAPILO
“ndio JITU laa ajabu mmmmmmmmh tutawezaje kumzibiti JITU hiloooo”  KAPILO alikuwa na wasi wasi kwa kile walichokuwa wamebeba uweza mawe na fimbo zisifanye kazi yoyote ileeee
“tutawezaaaa wala usiwe na hofu ni kulenga kichwa chake” MWANTUMU alimpa ujasili kijana KAPILO kuondoa woga na hofu zilizokuwa zimemtawalaaa kijana huyoooo.
Walianza kumnyemelea huku wakitia juhudi za kumkalibia JITU lile nalo ndipo lilipo shituka kuona watu wakiwa na maweeee huku na fimbo akijifichaaa chini mwake nae kutoa muungulumo uliopelekea mpaka kila mtu akibaki akishika masikio yake na kusahau kuwa yuko kwenye mapambano mazitoooo na yenye kutumia akili nyingiii.

Ndipo MWANTUMU pamoja na kijana KAPILO walizidi kusogea maeno aliyokuwepo JITU hilo na walipo fika walitaharuki ya kuona JITU lile kwa ukaribu uliopelekea mpaka kijana KAPILO kusita kupambana nae huku akiimizwa na MWANTUMU, MWANTUMU alitumia jitiaada kubwa huku akiwaimiza vijana na mabinti wenzake kupambana vilivyooo ili asije kuleta madhara kwenye kijiji chao,
“wewe acha kushangaaaa pambana” ilisikika sauti ya binti MWANTUMU akimwambia kijana KAPILO kwani alimuoona amekosa matumaini na ujasili wakati huo
“sikutegemea kiukweli kuona kitu kama hiki” alijibu KAPILO huku akiendelea kushangaaa
“usiwe mtu wa hivyo wewe ni mwanaume pigana achana na hayooo mawazo potofu
“sawa” aliitikia huku akifungua mkoba uliokuwa umebeba mawe mengi na siraa
Basi walishilikiana yeye pamoja na binti MWANTUMU kusaidiana ili kujilinda, ndipo JITU lile lilichukua jukumu la kuanza kuwasambalatisha watu waliokuwa maeneno yale huku wengine waliendelea kunaki wakipingwa butwaaa…………….! Nayo ilikuwa nafasi kubwa kwa JITU lile kuwakusanya na kuwaweka mahala pengine.
“MWANTUMU hukuuu uko huto weza kumpiga”
“Mmmmh  sawa KAPILO”
Binti MWANTUMU aliamia upande mwingine na kuanza kurusha mawe na mishale ambayo kwa JITU lile haikuweza kumudhuru kwa kiasi kikubwaaa….!, basi nae alianza kufata mahali palipokuwa panatokea mawe na kumwona binti MWANTUMU akijitaidi kurusha ndipo alipoanza kumfata nae MWANTUMU alipomwona alibaki akishangaaa huku JITU lile likiwa kwenye kasi ya kumfata mahali alipo,
KAPILO ndipo alipo mwita MWANTUMU “mwaaaantumu hama mahali hapoooo na waondoe watu ulionao hapo”
MWANTUMU alibaki kijiuliza kuhama au kubaki kuendelea na mapambano, lilipofika karibu yake MWANTUMU aliamasisha watu aliokuwa nao upande huo wakimbie wote.
 .
.
Wengine walikimbia lakini kuna baadhi ya wanakijiji walibaki wakipigwa na butwaaa walipokuwa wakiona lakini alicho kuwa akifanya binti MWANTUMU ni kuwaimiza kutoka maeneo waliokuwepo ili wakimbilie maeneo mengine kulinda usalama wao, waliosikia walizidi kujiweka kwenye mazingira mazuri licha ya wale waliokuwa wakiona hamasa ya binti MWANTUMU kuwaimiza haifai nao walizidi kuteketea na JITU lile lisilo na huruma hata nusu chembe.
Walikufa wengi wao huku JITU hilo litakapo kukamata cha kwanza alikuwa akikata kichwa na kukila huku kiwiliwili alikuwa akikiifadhi vizuri kwenye ndooo kubwaaa iliosemekana kuwa ni kubwa kuliko ndooo zote, kipindi hicho basi naye alikuwa akiifanyia kazi hiyo ya kuifadhi viungo vya mwili kwa wale watakao kuwa wameingia kwenye mikono yake.
MWANTUMU alijitaidi sana kufanya jitiaada za kumfanya JITU lile kumpoteza njia ili walicho kubaliana na KAPILO kiweze kutimia lakini lilionekana kuwa na uelewa kupitiliza lilipofika mahali na kunusa harufu na kurudi upande mwingine, kitu hicho kilimshitua sana binti MWANTUMU na kuchoka kwani zilikuwa zimebaki hatua chache tu kufika kwenye mtego waliokuwa wame upandikiza ili kuliangamiza JITU lile basin aye binti alipoona vile alimkonyeza kijana KAPILO, naye KAPILO kuona mipango yao imefeli ilimbidi atafute njia nyingine ya kutega mtego kama ule kwani JITU lile liliamia upande aliokuwepo kijana huyoo……..
Basi nae kijana KAPILO alipoona hivyo huku akiona wanakijiji wako kwenye mikimbizano nae alijichanganya kati kati yao kuamia upande mwingine na kuacha mahali pale kaweka tena mtego wa pili, basin ae alipoakikisha akuna hata mtu mmoja eneo lile aliona kwa mbalo anawakimbiza baadhi ya watu waliokuwa wakijitaidi kujilinda basin ae alijitokeza akiwa peke yake huku lengo lake ni kumfanya JITU lile kumfata yeye kuliko kukimbizana na wale, nae alichukua mawe na kuanza kulichokoza nalo lilipoona kitendo cha jeuri alichokuwa akifanya kijana KAPILO alitoka kwa spidi isiyo ya kawaida na kumfata mahali alipokuwa akirusha mawe yale, basi KAPILO alianza kukimbia eneo alipo tega mtego huku nalo likimfata bila ya kujua chochote kile.
Ndipo binti MWANTUMU alipojiongeza kuona kile alichokuwa akifanya kijana KAPILO naye alifanya kama makubaliano yao ya awali endapo mmoja wao atakapo kimbizana nalo JITU awai kwenye mtego ili aweze kuufyatua vilivyoo, basi alikimbia mpaka kwenye mtego ule na kukaaa stand basi kuwangoja waje kwani walikuwa wamebakiza hatua chache tu.

.
.
Naye JITU lile lilipo nusa harufu gafra alisita kwenda na kusimama gafra huku akiwashangaza MWANTUMU pamoja na KAPILO, basi tukio hilo liliwafanya wawaze sana kwani ni mara ya pili kakwepa mtego waliokuwa wameupanga ndipo KAPILO alipowaza na kumwambia MWANTUMU,
“duuuuh…! Hapa tutawezaje kama hali ndio hiii au katumwa maana siyo kawaida”
“mimi mwenyewe sielewi hapa”
“wewe unaona tufanye nini tena” KAPILO alimuuliza
“mmmmh hapo sina ujanja wowote ule KAPILO”
Walitoka eneo lile na kuama tena kwa mara ya tatu kujalibu huku wakizani huwenda kabaatisha kujua mitego yao, basi walipokuwa wakitafuta mahala pengine pa kuweka mitego upya JITU lile liliwaona na kuanza kuwakimbiza wawili hao, nao kugeuka nyuma kuona wakifatwa kwa kasi huku na huku walijikuta nao wakikimbia lakini vishindo vilivyokuwa vikisikika vilizidi kuwachanganya sana na kuwapoteza uwelekeo waliokuwa wakiufata nao kujikuta kila mmoja wao njia tofauti.
KAPILO alishangaaa kuona hayuko nab inti MWANTUMU, naye MWANTUMU hivyo hivyo alishangaa sana kutomwona kijana KAPILO ndipo kila mmoja wao alipofikia aliwaza atampata wapi mwenzake nae kijana KAPILO alipokuwa kajificha aliona si sehemu salama ni bora amtafute binyi MWANTUMU.
Alianza kupiga macho huku na kule akitazama kama ataweza kumwona MWANTUMU, lakini hakuweza kufanikiwa kumwona basi alitia juhudi na akili zake lakini kwani alikuwa na uwezo mkubwa wa kufikilia na kutatua jambo, aliwaza sana pa kumpata lakini aliona kila awazacho kinaenda ndivyo sio basi alimwona kijana akitapa tapa huku akiangaika kutafuta njia ili ajiweke salama na ndipo alipo mdaka na kuingia nae kichakani hapo alipokuwa na kuanza kumuuliza vijiswali vidogo vidogo.
“vipi mbona unaangaika hivi”
“sielewi nakoelekea kwani hapa ni wapi kaka” alijibu kijana huyoooo……
“duuuuuh kweli umepoteza mwelekeo kwani hapa ni kichakani…..” alijibu KAPILO
“mmmmmmh duuuuh kuko salama hapa maana wenzangu wote wameuwawa na lile JITU”
“Pole hapa huko mahala salama, lakini nataka kukuuliza kitu ndugu yangu”
“uliza tu kaka”
“kuna binti yuko na nywele nyingi unaweza kuwa umemwona mahali popote ulipokuwa unapita”
“ndio kaka tena mfupi kiasi chake, nilimwona alikuwa akiangaika sana huku lile JITU lilikuwa ndio linamfukuza kwa nyuma yake”
“duuuuuuh nisubilie hapa naenda kumfata huko huko………….!!!”
Alitoka mbio kwenye kichaka kile na kuanza kuzikamata nyaya za mahali alipokuwa kaelekezwa na kijana  huyooo na ndipo alipo karibia nae kumwona MWANTUMU akiwa kwenye wakati mgumuuu huku akiwa chini amejeruliwa vibaya na JITU lile.           
.
.

 “duuuuuh kweli umepoteza mwelekeo kwani hapa ni kichakani…..” alijibu KAPILO
“mmmmmmh duuuuh kuko salama hapa maana wenzangu wote wameuwawa na lile JITU”
“Pole hapa huko mahala salama, lakini nataka kukuuliza kitu ndugu yangu”
“uliza tu kaka”
“kuna binti yuko na nywele nyingi unaweza kuwa umemwona mahali popote ulipokuwa unapita”
“ndio kaka tena mfupi kiasi chake, nilimwona alikuwa akiangaika sana huku lile JITU lilikuwa ndio linamfukuza kwa nyuma yake”
“duuuuuuh nisubilie hapa naenda kumfata huko huko………….!!!”
Alitoka mbio kwenye kichaka kile na kuanza kuzikamata nyaya za mahali alipokuwa kaelekezwa na kijana huyooo na ndipo alipo karibia nae kumwona MWANTUMU akiwa kwenye wakati mgumuuu huku akiwa chini amejeruliwa vibaya na JITU lile. Akiwa chini kajeruliwa vibaya sana na ndipo JITU lile kuona vile alimbeba na kutimka nae mpaka kwenye NDOO kubwa iliokuwa na uwezo wa kubeba watu wapatao elfu moja, basi alipofika alimnyanyua juuu binti MWANTUMU tayari kwa kumdumbukiza kwenye ndoo ile gafra kijana KAPILO kutoa msaada wa mwisho kama ataweza kumsaidia binti MWANTUMU, alifanya kila jitiada lakini aliambulia patupu pale alipo shikwa nae na kubebwa juuu huku akining’inizwaaa kichwa chini na kuanza kumzungusha huku akimbamiza chini
Lakini wakati JITU lile likifanya tukio lile alijisahau na kubweteka huku macho yake yakiwa kwa watu hao wawili tu, lakini kijana yule aliokuwa kaachwa na KAPILO kichakani alitoka na kumfata kijana KAPILO kwa nyuma na kuhakikisha yuko nae basi pindi tukio lilipokuwa linaendelea naye alikuwa kajificha huku akiwa na siraa ya jadi, alianza kumweka kwenye tageti JITU lile na kuakikisha endapo atafyatua risasi ile iende moja kwa moja na kumwangamiza, alizidi kuichochea huku akitizama kwa umakini sana ili asimzulu mtu kwani JITU lile lilikuwa limewabeba wawili hao huku likiwafanyia mateso makali.
Alifyatua risasi ile na kwenda moja kwa moja kumpata mlengwa na aliona akiwaachia chini Binti MWANTUMU pamoja na kijana KAPILO nao kudondoka chini alisubiria mpaka hapo atakapo dondoka nae ili awawai vijana hao, alipoona nae mdogo mdogo akidondoka alikimbia moja kwa moja kwa kijana KAPILO na kumnyanyua na kumkuta yuko mzima lakini alikuwa ajiwezi basi aliiti vijana waliokuwepa na kuwaondoa eneo lile huku akionekana kuwa shujaa wakati huo na kila mwanakijiji alimtazama sana kijana huyo nae hakujali chochote kwani aliona ni jambo la kawaida, walifanyiwa huduma ya kwanza nao kupata hauweni binti MWANTUMU pamoja na kijana KAPILO.
Walibaki wakishangaaaa sana lakini walipo rudi kwenye hali nzuri kijana yule alianza kuwasimumia nao walielewa nani kaokoa maisha yao, lakini kijana yule alimkumbusha tu kijana KAPILO
“umeokoa maisha yangu name sikuwa na budi kuokoa maisha yako”
“asaante sana ndugu yangu kwa msaada wako” alijibu huku akimtizama kijana yule
“wala usijali”  alijibu kijana yule na kuondoka
Basi kijana KAPILO na MWANTUMU walipopona na kuwa vizuri waliishi na kuwa pamoja licha ya miaka kupita waliendelea na kuendeleza VIGODORO kijijini hapo licha ya wazee wa kijiji kile kukubaliana nao na VIGODORO kudumu kwenye kijiji hicho.


   **************************MWISHO**********************
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment