Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

NAMALA Sehemu ya Tatu

NAMALA 
.
.
.
SEHEMU YA TATU
MTUNZI HANS CHARLZ @hanscharlz @storynzuri 
WHTSAPP 0652486818 (10000) 


Alipachika siraha yake vizuri na huku akiwa kwenye kama kwani Binti NAMALA aliofia huwenda Bwana TUMBAKU anaweza kumkimbia kwa kile walichokuwa wameaidiana…
.          
Walianza safari iliochukua mwendo kidogo kufika eneno la tukio huku katikati ya safari kulikuwa na kuto kuelewana pale binti NAMALA alipoona hisia zake zikienda kufika tamati huku ajafanya kwichikwichi na Bwana TUMBAKU…… lakini Bwana TUMBAKU alikuwa akimtia moyo mahari walipokuwa wakienda..
“mbona hatufiki”
“ni hapo tu NAMALA wala si mbali”
“bwana au unanidanganya”
“si wezi mkufuru mungu huku kitu nakitaka”
“mmmmmh” Aliguna huku akiacha alama ya kuuliza kwa Bwana TUMBAKU
Basi walipopiga hatua kaza huku binti huyo akiwa mashakani naye kwa mbali aliona nyumba ikiwa katikati ya pori ikiwa tupu tena huku hofu yake ikawa imetulia na kumshitua Bwana TUMBAKU….
“naona kwa mbali nyumba ndio hiyo”
“yah ndio yenyewe”
“hoooo tuwai sasa” alimsisitiza huku wakiongeza kasi kuelekea kwenye GOFU lile.
Walikaribia karibu huku Bwana TUMBAKU akiwa na furaha akiamini siku hiyi anakula kuku na mifupa yake…. “leo kuku kanona kweli huyu nakula, mpaka mayai yake…..!” ni mawazo yaliokuwa yakimtoka Bwana TUMBAKU kwenye kichwa chake
.             
.
Walifika kwenye GOFU lile huku Binti naye akionekana kulifahamu sana kwa undani kuwa linavitu vyake, basi hakuweza kumwambia Bwana TUMBAKU na kuingia ndani
Waliongozana na kutafuta mahara palipokuwa salama kwa mchezo waliokuwa wakienda kuucheza kwani walionekana kila mmoja wao alikuwa akicheza uwanja wa ugenini na ikabidi kila mmoja kabla ya mchezo ni lazima wafanya mazoezi ya viungo….
Walipanda gorofa ya juu huku wakiona kuwa ni salama Zaidi na ndipo Bwana TUMBAKU alipopata chumba kizuri na kumwita Binti NAMALA ili nae akishuudie…
“hapa vipi?
“hapo poa” ….
“sawa binti mrembo” aliitika kwa sauti ya kiume huku akibaki akimsifia na kumjaza hamu ya kumtamani…..
.
Na kumsogelea mpaka eneo binti NAMALA huku akianza kuonesha madoido huku akimtekenye mwili wa binti NAMALA…..
Hisia za binti NAMALA zilionekana kuwa na misukosuko pale zilipogoma kupandisha molali wa kufanya mapenzi,.. basi jukumu alikuwa nalo Bwana TUMBAKU la kuweza kuzifanya hisia hizo ziweze kupandisha mukali wake….. basi ndipo alipo toka nje haraka haraka na kuingia chumba kingine kutafuta vitu vya kuweza kumtoa na kumweka kufanya mapenzi… nae Bwana TUMBAKU alifanikiwa kukuta kuna magara ya pombe za hasiri nae kuchukua baadhi na kurudi moja kwa moja kwa binti NAMALA huku akihakikisha pindi wakinywa vitu hivyo watapata hamasa ya kufanya………
.
.
“NAMALAAAAAA!” aliita Bwana TUMBAKU
“abeeee!” nae NAMALA aliitika
“nimekuja na zawadi” aliongea huku mikono yake ikiwa nyuma huku akisubilia tu tamko la binti NAMALA ili aweze kukitoa
“zawadi ipi tena hiyo”
“nzuri sana” aliongea nae kuitooa
Bwana TUMBAKU alipoweza kuitoa ile zawadi binti NAMALA alifurahi sana na kumkimbilia Bwana TUMBAKU na kumpiga mabusu mengi sana kwani nae binti NAMALA alikuwa na kiu ya kupata pombe ili aweze kuwa fiti mchezoni na kubaki akimwangalia Bwana TUMBAKU kwa kile alichofanya kwani hakutegemea kama anajua kuwa anapendelea kunya vitu vikari….
“asante sana! Umejuaje kama napenda vitu hivi”
“haaaaa! Kawaida tu NAMALA kwa kila kijana wa sasa kwenye shughuri kama hii lazima kutumia”
“mmmmmmmh umenishinda tabia”
“haahahahaa” alichea Bwana TUMBAKU huku akim’minia binti NAMALA kinywaji kile huku akimpapasa maeneo yote ya mwili wa binti NAMALA….

Ndipo pombe zilipo kolea na kila mmoja kuanza kucheza nyimbo aliokuwa akiijua mwenyewe, huku bwana TUMBAKU yeye alikuwa ni mzoefu alibaki akimsikiliza binti NAMALA mpaka atakapoona ni mda muafaka wa kukata kiu aliokuwa nayo ndani ya suruali yake….. basi zilipita kama dakika kazaa huku Bwana TUMBAKU akionekana kuumia mwenyewe huku kipezeo kilikuwepo nae alichukua jukumu…………….?
.
.
.
"USIKOSE SEHEMU INAYOFATA HAPA HAPA "
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment