Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

GANDA LA NDIZI Sehemu ya SABA

GANDA LA NDIZI
SEHEMU YA SABA
MTUNZI @hanscharlz @storynzuri
Whtsap +255652486818 Tsh 5000#
.
Wote walijikuta wako chini na kila mmoja wao kuitaji msaada wa hali na mali ili waweze kutoka eneo lile kwani walikuwa kando kidogo mwa barabara basi pindi walipokuwa wakiwaza watasimama vipi kwani kila mtu pale nguvu zilimwisha kwa mtikisiko ule pamoja na uzito waliokuwa nao wote wawili hao. Basi walianza kutupa macho kando ya barabara wili hao na kumwona kwa pamoja kijana mmoja na kumwita lakini haikuwa nzuri kwa kijana yule kuwapa msaada nae kijana yule alipowaona tu alitokomea pasipo julikana huku kijana huyo ni ndiye aliyekatazwa kutoka eneo lile na bosi wake kwa dhumuni huwenda angetajwa kwenye kesi ile….
“nimekwambia uingie ndani mda mrefu” ilisikika sauti ya bosi wake ikimwambia kwa kile kilichotokea wakati ule
“ndio bosi kwani mimi sikutegemea kama angeweza kuniona kwani nilijifisha sana” 
“hata kama ndio wameshakuona na wewe umekimbia watakufikilia vibaya”
“bosi mimi niliogopa kwenda kutokana na wewe ulivyoniambia hapo awali”
“basi sawa ngoja tuone watafanya nini”
Basi kijana na mfanyakazi walijificha huku wakichungulia kuona  ni nini kitaendelea pale
Binti pamoja na kijana pale chini walishangaa sana kutopata msaada wa aina yoyote huku magari kwa wakati ule yalikuwa machache mno na ndipo lilipotokea gari moja lililokuwa likija upande wao walipo kwa kasi tena bila ya kujali mtu. Dereva wa gari lile alionekana kuwa ajali chochote mbele yale nae alipoanza kuwapigia honi kali iliowafanya kila mmoja kupigwa na butwaaa pale gari lile lilipo…………….
USIKOSE SEHEMU INAYOFATA HAPA HAPA MDA KAMA HU?
#Mrstory #storyempire cc @storynzuridaily @storynzurination


Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment