Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

GANDA LA NDIZI Sehemu ya NANE

GANDA LA NDIZI
SEHEMU YA NANE
MTUNZI @hanscharlz @storynzuri
Whtsap +255652486818 Tsh 5000#
.
Kupigwa na butwaa na kuona gari lile lililokuwa likipiga honi likifata sehemu walipo naye dereva aliekuwa akikiongoza chombo kile alionekana kuwa na mhamasisho pindi vijana aliokuwa nao pemebeni wakimpa maneno mengi tena ya kumpumbaza basi alishituka akifunga breki pembezoni kidogo walipokuwa wamedondoka kijana pamoja nab inti yule…
Nae dereva akuwaza lile alianza kutoa maneno machafu nay a kejeri kwa kijana yule huku vijana aliokuwa nao nao walikuwa wakichangia kutupa maneno yale… nae kijana hakuwa na jibu lolole kwani alionekana kuwa msitarabu mpaka hapo walipo kuja wasamalia ili kuwasaidia.
Kijana mmoja ndani ya gari lile alitoa kichwa chake na kuwatizama na kusema…
“tungewamalizia tu hawa wajinga”
“hahahaha umeona” dereva nae alijibu huku akionekana kupenda wazo la kijana yule
“rudi tena nyuma tuwapitie tu”
“ila kweli” dereva aliitikia na kuwasha mafuta na kuanza kurudi nyuma lakini nafsi yake ilisipa pale ilipotaka kupindisha taili zile ili ziwafate walipo….
“twende dereva wetu” alizidi kuchochea kijana yule
“mmmmmmh” muguno ule ulisikika ka dereva na kuwaza mambo mengi na ndipo alipo weka spidi kali na bila kujali mtu yoyote alipita kwa nguvu na kuacha vumbi jingi eneo lile na kijana yule aliyekuwa akichochea alitoa tena kichwa chake na kuwaonesha kidole cha kati kijana pamoja nab inti yule….
“mnabaati yenu siku ya leo”
Basi walitokomea na walipokuwa wakizidi kushanga watu walizidi kujaa eneo lile. Binti yule alipotaka kunyanyuka tu maumivu yalijaa eneo la mguu wake na alipoutazama tu aliona kuwa mguu wake hauko sawa nae kupiga kelele nyingi na ndipo kijana kujivuta na kutoka eneo lile.. na kupiga mayowe ya kuomba msaada wa watu nao waliitika na kuwa wengi…
“msaada ndugu zangu” ni sauti ya kijana yule…
USIKOSE SEHEMU INAYOFATA HAPA HAPA MDA KAMA HU?

#Mrstory #storyempire cc @storynzuridaily @storynzurination 
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment