Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

GANDA LA NDIZI sehemu ya Kumi

GANDA LA NDIZI
SEHEMU YA KUMI
MTUNZI @hanscharlz @storynzuri
Whtsap +255652486818 Tsh 5000#
.
Ndipo kijana alipotupa macho yake kwenye kifua cha mrembo SOFY na alijitikisa sana kichwa chake huku akimtizama SOFY huku SOFY nae hakuwa na habari yoyote na ndipo kijana aliweka woga wake chini na kuvaa ujasili ambao alimshika binti SOFY na kumpeleka moja kwa moja mpaka anapo lala. Kwa dakika chache tu chumba kilijaa mahaba teleeee! Huku ikionekana kwa binti kushika kasi ya hali ya juu mno kwani kijana alishangaa kuvutwa kama mtoto mdogo na kufunguliwa zipi ya nguo yake……..
“wewe umeshika ikulu yangu” ni maneno yaliokuwa yakimtoka kijana wakati akipagawa na kitendo alichokuwa akifanya SOFY
“yah najua ndio nayoitaka kwa sasa” alijibu kwa kujiamnini na kumvuta vizuri mpaka hapo
Kijana alipomtengeneza na kuanza kulisakata kabumbu mnamo dakika kazaa kijana alionekana dhaifu sana pale alipotangaza ushindi wa goli moja kwa binti SOFY.
“si mchezo hayo mauno baraaa umefunzwa wapi” kijana alimuuliza SOFY
“mmmmmh mbona kawaida tu! Nimefunzwa mkoleni na wazazi wetu” alijibu na kumwandaa tena kijana na kuingia mzunguko uliokuwa ukifata basi mzunguko huo ulionekana kuwa wakuvutana pale kijana alipogoma kutangaza ushindi mapema mpaka kupelekea binti SOFY kuwa hoi mpaka hapo alipotangaza ushindi binti alionekana kupenda mchezo ule…
“mmmmmmh wewe hatari dakika zote hizi” ni maneno aliokuwa akisema binti SOFY
“hahahahaha kawaida tu” alicheka kwa bwebwe na kumwangalia binti SOFY
“nimependa sana sana” binti aliskika akifurahia na kuomba kuondoka basi kijana alipo maliza alimwomba kwenda kujimwagia maji na walipo maliza wawili hao waliondoka na kumpakia kwenye baisikeli yake na kufunga safari kuelekea alipokuwa akienda binti SOFY waliziacha aridhi ya mtaani na kurudi maeneo yale walipopata ajari walishangaa kuona vita vikiendelea huku watu wakikimbia huku na kule wakitafuta mahari pa kujificha kani palichafuka sana na kutupa tupa ovyo biashara za watu………….
USIKOSE SEHEMU INAYOFATA HAPA HAPA MDA KAMA HU?
#Mrstory #storyempire cc @storynzuridaily @storynzurination
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment