.
MTUNZI HANS CHARLES
Instagram @hanscharlz @storynzuri
SEHEMU
YA PILI
KAPILO
UVUMLIVU ULIPOMSHINDA NA KUFATA MSAFARA
Vijana walizidi kupita
mtaaa kwa mtaaa huku wakiakikisha wanazunguka kijiji kizima huku wakikusanya pesa
kwa wale watakao vutiwa na ngoma zile yaani “kutoa SADAKA” basi walipokuwa
wakipita pita watu nao walikuwa wakiburudika na kile walichokuwa wakisikia huku
mitikisiko na vishindo vya wacheza ngoma nazo zilikuwa zikiwaamasisha
wanakijiji wa kijiji hicho kuwa wako sehemu flani.
Ndipo kijana KAPILO
aliungana na binti mmoja wa wale waliokuwa wakicheza ngoma ile nae kumuuliza
“Mnaelekea wapi?” KAPILO
aliuliza huku akimtolea macho binti yule Kwa mavazi aliokuwa kavaaaaa……
“kaka weeee!!!!!! Hiiii
bado sana kwani twazubguka kijiji kizima na siku nzima wewe tu na huruka
yako……………? Dada yule alimjibu na kupita kwa mbele yake na kuanza kumkatikia
kijana KAPILO
“Ooohooooooo…...!!!!!!!”
mguno ulisikika kutoka kwa kijana KAPILO kwa kile alichokuwa akifanya binti
yule.
Nae binti alipomwona
kijana akibaki aki duwaaaaaa!!!! Alichomoka mbioooooo na kuingia kati kati ya
kikundi chake na kuendelea na mudundiko uliokuwa ukiendeshwa na vijana wachache
amba walionekana kuwa na ustadi ya hali ya juuuuuuu, moja alijulikana kama “AAMBILIKI”
alikuwa ni kijana ambaye alipata jina hilo kulingana na matendo ya kutomsikia
mtu nae ndiye aliye kuwa mwanzilishi wa ngoma za VOGODORO kijijini hapo, basi
alikuwa akiwapa raha watu waliokuwa wakiusindikiza msafara ule ambao watu wengi
hawa kuchoka kwani vijana hao akiongozwa na “AAMBILIKI” walikuwa wakichanganya
midundo ya aina tofauti.
Walizidi kupiga hatua
huku safari yao ilikuwa inaelekea ukingoni mahali walipokuwa wamekusudia kuweka
kambi usiku mzima wakicheza ngoma huku wakiburudika kwa vinywaji na kila aina
ya starehe
.
.
KAPILO alizunguka na ndooo yake siku hiyo yote huku akiwa nayo kichwani mpaka majira ya saa kumi na mbili jioni nae kupata hauweni pale walipo weka kambi na kuanza kucheza huku wakipokezana kwani wengi wao walipoteza nguvu zao walipo kuwa wakitembea na kuchukua mda mrefu sana,
.
KAPILO alizunguka na ndooo yake siku hiyo yote huku akiwa nayo kichwani mpaka majira ya saa kumi na mbili jioni nae kupata hauweni pale walipo weka kambi na kuanza kucheza huku wakipokezana kwani wengi wao walipoteza nguvu zao walipo kuwa wakitembea na kuchukua mda mrefu sana,
Ndipo alipo tua maji yake
na kuyaweka pembezoni kidogo na pale walipokuwa wakitimua vumbiiii huku mduwara
ukitengenezwaaa na watu wakipandisha mashetani yao.
Walicheza sana huku
walivyokuwa wakizidi kumiminika watu nao walipata nguvu, kwani watu walikuwa
wakiwamwagia fedha nyingi, nae kijana KAPILO aliendelea kuona raha huku
akivutiwa na mdada moja kati ya wale waliokuwepo wakicheza “KIGODORO” huku
akimlia tageti yake kumfata mahala atakapokuwa peke yake, walizidi kumwaga
fedha wanakijiji huku wengine wakiminika kutoka kila pande za kijiji hicho,
Nao wazee wa kijiji
walikuwa wamekwisha peana taharifa juuu ya “VIGODORO” walivyokuwa wakicheza
kipindi cha nyuma lakini hiki kilionekana kuwa cha tofauti yake huku
kikiwafanya wanakijiji kuacha shughuri zao mnamo majira ya asubui mpaka usiku,
kilikuwa kitu cha kushangaza sana kwani watu hawakusikia bali walipenda kucheza
“KIGODORO” kwani kilikuwa na mambo flani ambayo yalikuwa ni adimu kwa
wanakijiji na huchezwa mara moja moja, wanakiji wengi pindi wakikosapo kucheza
“KIGODORO” kwa wiki wengi huwa na hamu ya kucheza basi wakionapo tu wengi wao
ukitamani na wanakifata ili nao wachezeeee……………..!
Ndipo kijana KAPILO alipo
mwona binti yule aliyekuwa akimtolea macho yuko upande wake akiwa mwenyewe, nae
alichomoka mpaka alipokuwa binti yule na alipo fika tu alianza kuongea nae,
“Samahani nakuona
wacheza, Hongera unacheza vizuri dada yangu” aliongea kijana KAPILO huku
akimtizama kwa jicho la mahaba
“AHSANTE sana lakini sio
sana ebu ona wenzangu wanavyo jua kuyazungusha” alimjibu kwa mafumbu huku nae
rohoni alikuwa akichekelea kwa sifa alizokuwa akimwagiwa na kijana KAPILO
“Mmmmmmmh! Wewe mbona
mimi nimeona uko tofauti nao samahani lakini waitwa nani….?” KAPILO alimuuliza
“Naitwa MWANTUMU” binti
MWANTUMU alimjibu nae kubaki akimfikilia kijana KAPILO kwanini ka mfata yeye tu
au ni mzuri alibaki akijiuliza na kuto fanikiwa kupata jibu lolote lile…………
Basi kijana KAPILO alipo
mwona akitabasamu nae jicho lilimtoka na kukumbuka mda umeshakwenda sana nae
kugeuka nyuma na kuelekea mahali alipo acha ndooo yake, na alipofika tu
alinyanyua ndooooo yake, lakini pindi alipokuwa akipiga hatua zake kurudi
nyumbani na kukiacha “KIGODORO” kikiendelea mara gafra aliomwona binti yule
yule aliokuwa akiongea nae akimfata nae KAPILO kusimama…………..!
.
.
KAPILO kusimama…………! Chakushangaza MWANTUMU akutaka kuonesha na kuona aibu yoyote pale kwani alikuwa kwenye kazi licha yay eye kuvutiwa na kijana KAPILO alimshika mkono wake licha ya kijana KAPILO kutoelewa chochote wakati huo nae alimwangalia mnooooo! MWANTUMU huku akiwa nae anapata hisia nyingi kwa mkono uliokuwa umemshija KAPILO nae alijikuta ana lopokaaaaa “MWANTUUUUUUMU!!!!!!! Wewe mkono wako una nini”
.
KAPILO kusimama…………! Chakushangaza MWANTUMU akutaka kuonesha na kuona aibu yoyote pale kwani alikuwa kwenye kazi licha yay eye kuvutiwa na kijana KAPILO alimshika mkono wake licha ya kijana KAPILO kutoelewa chochote wakati huo nae alimwangalia mnooooo! MWANTUMU huku akiwa nae anapata hisia nyingi kwa mkono uliokuwa umemshija KAPILO nae alijikuta ana lopokaaaaa “MWANTUUUUUUMU!!!!!!! Wewe mkono wako una nini”
“Mmmmmmmmh kwanini wasema
hivyooo” mwantumu aliguna na kumuuliza KAPILO
“Si unani
naniiiiiliiiiiiii”
Hapo hapo MWANTUMU alipo
pata nguvu kwa yale maneno yalio mtoka kijana KAPILO nae kuanza kucheza huku
akimkatikia mauno hatariii kijana KAPILO mpaka kupelekea kijana KAPILO kutokuwa
mvumilivu japo alikuwa kabeba Ndooo yake kichwani, Nae alianza kujibu
mashambulizi ambayo binti “MWANTUMU” alivyokuwa akimpelekea,
Ndipo alipo ona ni heri
kuishusha ndooo ile aliyokuwa kabeba ili aweze kuyakata vizuri, nae alifanya
hivyo na kuenedelea na mdundo ule, binti aliona azidishe manjonjo mpaka
kumpelekea kijana KAPILO kuwa hoiii maeneo ya chini ya kiuno cha kijana KAPILO
Huku nae hakutaka
kukubali kama kashindwa na binti “MWANTUMU” nae kujibu japo kishingo upande
alicheza sana kwenye makalio ya binti “MWANTUMU”
Mda ilikuwa ikizidi
kuyoyoma huku KIGODORO kile kuzidi kukolea nao watu kuzidi kumiminika mahali
hapo, MWANTUMU alipoona kijana KAPILO yuko vizuri nae kutoka nae pembeni kidogo
mwa KIGODORO kile huku akiwa na shauku ya kujua kipi hasa siri ya ujuzi wake japo
kuuonja ndipo atalizika,
“KAPILO wewe ni
hatariiiiiiii” binti MWANTUMU alimbwagia sifa kijana KAPILO
“Mmmh kweli”
“Ndio kweli unaonekana
kuwa fundi sana” MWANTUMU alizidi kumjazia sifa za hapa na pale kijana KAPILO
“Ahsante sana mbona hata
wewe ni mkali maana nilifikia kipindi GIA zilikuwa azipandi”
“Hahahahhahahha KAPILO
bwanaaa!!!!” MWANTUMU alicheka huku jicho lake likiwa limelegea.
.
USIKOSE SEHEMU INAYO FATA HAPA HAPA
0 comments:
Post a Comment