Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

KIGODORO Sehemu ya Nne



MTUNZI HANS CHARLZ 
Whatsapp +255652486818
Instagram @hanscharlz @storynzuri 
SEHEMU YA NNE
KAPILO ANACHEPUKA KWA KIMADA KINGINE
Alimzunguka huku akishika maeneno alikuwa akijua yanaweza kumfanya awe mnyenyekevu pindi atakapo anza kulimenya TUNDA lile alilokuwa nao binti huyoooo….
“vipi mrembooo” KAPILO alianza kumwita kwa mahaba ya kutosha binti huyoooo          
“Poaaaaa” binti huyo naye alijibu huku akiwa mnyenyekevuuu kwani KAPILO alikuwa kaishakwisha fanya yake.
“Hoooooooo! Basi sawa tende huku nikakate kiu yako mrembo”
Basi KAPILO alimvuta binti huyo pemebni kidogo na kumwanzishia kichapo ambacho binti alikuwa akifurahia, kwani KAPILO alimtembezea kichapo cha mbwa kamata mwizi
“Hooooooooshiiii elewiiiiiiii…!” Ni sauti aliokuwa akitoa binti yule huku KAPILO hakujali alizidi kushindilia huku na kule binti yule alianza kuonesha kutwoka na jasho jingi ambalo lilimpelekea kukubali kwa kichapo cha kijana KAPILO, naye KAPILO alitoa pumzi huuuu akitoa sauti amabyo ilionesha kuwa kile alichompatia binti yule kilikuwa cha uwakika
“vipi mrembo unajisikiaje” KAPILO alikuwa na bwebweeee
“jamani niko vizuri mno naweza pata kingine cha nguvuuuuu” binti alionja UTAMU naye akataka apewe kingineee
KAPILO alionekana kuwa na mapafu ya SIMBA kwani binti alivyokuwa akiongea kutaka kingine basi KAPILO alimfata pale na kuanza kutembeza kichapo kingine kwa binti huyoooo mpaka ilipo sikika sauti ya binti huyoooo,
“Toshaaaaaaaa” huku kelele nyingi akitoa licha ya sauti ya ngoma ilikuwa ikizuia
 “Bado kidogooooo mpendawa” KAPILO hakutaka kuachilia kati kwani alikuwa kafika sehemu nzuri ilimbidi afike mahali alipokuwa akiendaaa na alipo fika mwisho sauti ya muungulumo wake ulisikika nae kuwa mpole huku tabasamu likiashilia kuwa kalizika.
Binti alivaaaa nguo haraka haraka na kumwambia KAPILO “nimefurahi sana kwa kunikata kiu yangu ya mda mrefu”
“Okay usijali mrembooo sisi tumeubwa kwaajili yenuuu watoto wazuri kama nyie” KAPILO alijibu huku akijifuta jasho lake lilokuwa likichuruzika wakati wa mchezo ule uliokuwa na upinzani mdogo.
Nae binti yule alichomoka kama mshale na kuelekea walipokuwa wenzake, na alipo fika tu cha kwanza wenzake walianza kuoji maswali mengi ambayo hakuweza kujibu kwani alionekana kuwa na furaha kwa zoezi alilokwenda kufanya wakati ule, ndipo msichana mmoja alipo tamka kwa sauti huku akiwasisitiza wenzake “inaonekana kijana huyooo yuko vizuri”
KAPILO alipokuwa nae aliona ni vyema kuondoka maeneo yale, na kubeba ndooo yake haraka na kuanza safari tena lakini cha kuchangza mabinti wa tatu akiwemo na yule binti walimwona kijana akiwa na ndooo yake nao walimzingira na kumweka kati huku kila mmoja wao alianza kuonesha manjonjo huku wakibilinga bilinga makalio yao kwa kija KAPILO.
KAPILO alibaki akishangaaa kwa mengi licha ya kuwa alijiona nguvu kuwa zimekwisha kwa wakati huooo ilimbidi abaki akiwatazama tuuuu mabinti hao waliokuwa wakioneshana nani mkali kwa mwenzake, aliishika ndoo yake huku akiiweka usawia huku akiwa mpole wakati huo kwani alijua tu akionesha chochote uwenda watamwaga maji yake basi nao mabinti walichukuwa takilibani dakika kazaa huku wakimzunguka kijana KAPILO.
MWANTUMU alipowaona wenzake naye ilimbidi aingilie kati swala hilo kwani naye alikuwa akimpenda sana KAPILO basi wivu ulimwingia MWANTUMU na alipofika aliwaondosha mabinti hao na kubaki akimtizama KAPILO, na ndipo alipo mwambia
“vipi mbona ndooo kichwani unataka kuondoka”
“ndiooooo kwani nimechelewa mno” KAPILO alijibu huku macho yake yalizidi kuangalia usalama wan do yake waki aliwaza endapo ataya mwaga maji hayooooo huku giza limetawala hato weza kurudi kisimani.
“okay sawa nendaaa hawa hawato kusumbua sawa” MWANTUMU alimwondoa hofu ya kuzuiliwa na mabinti hao
“asante MWANTUMU”
“Usisahau kesho KAPILO kunitafuta” MWANTUMU alizidi kumsisitiza KAPILO juuu ya kumtafuta
“wala usijali kwa hilooooo” naye KAPILO alimjibu MWANTUMU
Aliondoka huku MWANTUMU Akimtizama mpaka atakapo ishia kwani alijua tu mabinti wenzake wanamtamani.

Alipo fika mbele kidogo nae KAPILO aligeuka na kumtizama MWANTUMU, na alipo mwona macho yake yalikutana nae MWANTUMU basi aligeuka na kuendelea na safari, gafra alianza kusikia kishindo kikubwaaa huku mtetemo huo uliwashangaza sana watu waliokuwepo kwenye KIGODORO kile nawo walianza kutaamaki na kutafuta ni kipi kilichokuwa kikifanya mtetemo ule.
MWANTUMU aliangalia ni mahali alipokuwa akielekea kijana KAPILO, huku kishindo kilizidi kumchanganya binti huyo na kuona uwenda kita mfanyia mambo mabaya basi alijitaidi kupaza sauti yake ili arudi KAPILO
“KAPILOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO……!”
Hata KAPILO hakuweza kusikia licha ya jitiada alizofanya binti MWANTUMU kumwita, KAPILO naye aliposikia kishindo kile basin aye aliweza kuwa makini licha ya kuto kujua ni nini hasa kinafanya hivyoooo,
Basi mabinti wale walifanya jitiada za kuwajulisha wanakijiji wakimbie kuwahi majumbani mwao, kwani kulikuwa kumeshavurugika, wote kwa mbali waliona kitu cha ajabu ambacho kiliwashangaza wengi wao licha ya kutahamaki mahali pale waliona wanakijiji wengine huku wakichukuliwa na jitu lile lilokuwa na mfano wa “ng’ombe” ambaye alikuwa akila watu.
MWANTUMU alimkimbilia KAPILO huku akijitaidi na hatimaye kumfikia mahali alipokuwa kajificha huku wakiona kwa mbali wenzao waliokuwa wakipata mateso na suruba alizokuwa akizifanya JITU hiloooo.
Ilionekana kuwa katumwa kwani haikuwai kutokea katika kijiji hicho wanakijiji walishangaaa sana kuona mashamba yao na vyakula vyao vikialibiwa na JITU hilo, huku baadhi yao walikuwa wakiliwa na JITU hilooooo.
Mababu wa kijiji waliposikia kelele zikitawala basi wote waliokuwa wamekusanyika mahali pale wakajua tu ni mizimu imejibu maombi yaoooo. Walimua vijakazi wawili kwenda kuhakikisha ni kweli walichokuwa wameomba kimejibiwa au bado wana KIGODORO walikuwa wamepandisha mashetani yaoooo.
Walipofika eneo la tukio wale vijana walioagizwa walirudi haraka ili warudishe jibu kamili, nao walipo fika waliwaambia walichokiona mahali pale huku wazee wa kijiji hicho walibaki wakiwasonya wale watu ambao waliokuwa wakipinga yale waliokuwa wakitaka huku mmoja wa wazee alisikika akisema “tumewakomesha sizani kama wataweza tena kurudia upuuzi kama huo tena”
Basi ndipo walipo subilia mpaka kelele zile zitakapo isha ili waweze kwenda kushuudia wazee hao, MWANTUMU pamoja na kijana KAPILO walikuwa wamejificha mahala palipo kuwa na usalama japo kuwa wengi wao walikuwa hawajui wanaweza wapi kujistili kwa kisanga kile, basi walishauliana pale wafanye nini ili waweze kumzibiti Mdudu uyoooo licha ya wao kutokuwa na siraha yoyote ile walijipa uajsiri wa kuweza nao walitoka mahali pale na kuingia kupambana nalo kwani lilikuwa upande wao.
“hukuuuuuuuu KAPILO” binti ,WANTUMU alimwonesha njia kijana KAPILO
“okay twendeee” alijibu huku akitizama kwa umakini nyuma yake
Walizidi kukimbia huku wakijifichaaaa wasionekane na JITU ile nae kijana KAPILO alipo muuliza
“tupa pata wapi sirahaa mpendwa” KAPILO alimuuliza binti MWANTUMU
“mmmmmmh hapo sijui tujalibu kuchukua hizi za asili”

“sawaaaa”

USIKOSE SEHEMU INAYOFATA HAPA HAPA  
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment