Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

GANDA LA NDIZI sehemu ya PILI

GANDA LA NDIZI
SEHEMU YA PILI
MTUNZI @hanscharlz @storynzuri
Whtsap +255652486818 Tsh 5000#
.                   
Hakuwa na budi binti RECHO alizidi kusonga mbele ili apate kifuta jasho kwa siku hiyo basi barabara nzima alikuwa akitamba kwa mwendo wake mpaka kupelekea vijana wengi kubaki mate yakiwadondoka kwani binti RECHO alikuwa akiwapelekea hamsha hamsha ambayo haikuwa ya kawaida kwa vijana hao. Vijana walianza kumfata huku wakimpigia mayowe ambayo kwa binti RECHO kupata moto na kuzidisha Zaidi na Zaidi….
Alizidi kuzunguka nyumba kwa numba na ndipo alipopita mahara flani alisikia sauti ya kike ikimwita naye kugeuka na kuitazama sauti ile ilipokuwa ikitokea mara gafla alimwona mama mmoja akimfata huku akiwa ameshika pesa mkononi. Binti RECHO alisimama na kumsikilaza mama yule kumbe naye alikuwa akihitaji huduma nae kushusha chini chombo chake……..
“vyote vyaa leo leo mama” ni sauti ya binti RECHO ikisemezana na mama yule..
“hoooo hata mimi naona mwanangu tena zimekomaa ni bei gani hizi leo..”
“mama hapo utanipa kwa kila moja kiasi cha pesa mia mbili tu (200#)”
“mwanangu ni nzuri lakini naomba unipunguzie”
“sawa mama unachukua ngapi?”
“leo nachukua kumi tu mwanangu”
Mama alichukua ndizi pamoja na matunda mengine aliokuwa nayo binti RECHO na kurudi nyumbani kwake kwani alipokuwa akiishi hapakuwa mbali na pale…., RECHO alikusanya vitu vyake na kuweka kwenye mpangilio mzuri na kubeba chombo chake na kuendelea na safari yake ambayo aliona mapema kuwa huwenda atamaliza.
Alizidi kuwa shawishi wateja wake siku hiyo huku akionekana kuwa mchanga mfu sana kwa wateja wake hali hiyo iliwapelekea wateja wake kwa siku hiyo wawe wapole tu huku ikionekana huwenda siku hiyo alipata bahati yote hayo yalikuwa ni mawazo ya wateja wake…
Alipita mahali alisikia sauti na kugeuka nyuma kuitazama na alipoiona tu…………….?
ITAENDELEA KESHO MDA KAMA HUUU!


Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment