Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

storynzuri sehemu ya hamsini na tano shemeji ingiza pole pole



.
.

Sehemu ya Hamsini na Tano

Mtunzi INSTAGRAM @hanscharlz @storynzuri

Ilipoishia "Nilimwelekeza mahari napo kwenda na alinielewa basi nae alindesha kwa hali ya kawaida kwani alikuwa katoka kwenye majereha ya ajari ya gari basi alionekana kukieshimu chombo hicho na huku tukiendelea kupiga storiii na tulifika mahari nilipo mwelekeza na palikuwa tofauti sana kwani iliniwia vingumu sana kumwambia nako elekea na ilinibidi nifanye hivyooo tu basi alinishusha na mimi niliposhuka tu nipata akili ya ninapo elekea huku nae alipaki pembeni huku akinitizama ninapo elekea."
.

Alinendelea kunitizama ninako elekea huku nami nikiwa na yangu kichwani ambayo nilikuwa nimeshayapanga mda sana bila ya yeye kujua nafanya nini basi nami ndipo nilipo katisha kwenda na vichochoro vilivyokuwa vimetizamana na mahari nilipokuwa nimeshushwa na gari basi kuwaza kumpoteza ilinibidi nifanye hivyooo kumpoteza kabisa mwelekeo wa kujua naelekea wapi na hukunikiendelekea kukata mitaaa hiyo na kujikuta nikiibukia mtaa wa pili na ikanibidi nichukue boda boda fasta ili nayo kunipeleka hotelini haraka sana nami nilifanya hivyooo na kupata boda boda na kuanza safari ya kuelekea hotelini na nilipokuwa kwenye boda boda niliwaza tu endapo tu nikikutana na Erick nikiwa kwenye boda boda hiyoo huku nikielekea mahari pengine nitakuwa nimefanya makosa sana tena makubwa na ndipo nilipo waza kuchukua kanga iliyokuwa kwenye mkoba wangu na kujifunika kichwa changu chote na kuhakikisha kuwa sito onekana na mtu yeyote yule pindi nishukapo maeneo ya hotelini. Nilifanikiwa kupenya mitaaaa yote na kuto kutana na baraha lolote njiani lakini nikiwa na wasiwasi sana lakini ilinibidi tu niwe jasili na kufanya hivyooo kwani sikuwa na namna nyingine ile kwani Erick siku zote ujua kuwa niko na kaa na dada yangu Amina iweje leo anikute niko nazunguka kwenye hoteli si atanifikiria vibaya mimi?


Basi nilivyofika na kuingia haraka haraka ndani ya hotel ile na moja kwa moja nila kupoteza hata mda kidogo nilielekea kwenye chumba changu na kuingia ndani huku nikiwa na furaha sijaonekana kwa mtu yeyote yule basi nilikuwa mwingi wa furaha japo kuwa sikujua uwenda nimeonekana au laaaaah!!!! yote hayo sikuwa nimeyaweka akilini sana lakini kwangu ilikuwa mipango imepiga tikiiii kubwaaa. Nilifika mpaka kitandani na kutupa mkoba na viatu nisikokujua huku nikijitupia katikati ya kitanda kile na kulala kwani usingizi ulikuja haraka mnooo kwani siku hiyo nilikuwa nime zunguka mnooo basi kupelekea kupata uchovu mkubwa. Hyakupita masaa nikiwa nimelala huku usingizi ndio ulikuwa ukinogaaa nao kusikia mlango ukiwa unagongwaaa nami nilishituka gafra na nilipousikia tu nilijua ni muhudumu wa zamu ndie anaye gonga huku nikiwaza kuwa labda kaja kuchukua kitu au kuleta kitu ndani basi kwa haraka haraka zangu mie nilikwenda mpaka mlangoni na kuufungua mlango huooo! na cha kushangazaa huku nikijawa na mshituko mkubwa wa gafraa kwani sikutegemea kuona sura ambayo nilioiona wakati huooo na ndipo akili ya pili iliponijia na kuubamiza mlango huo kwa hasira sana na kubaki nikiwa nimeuegemea huku nikiwa mtu mwenye kukosa amani wakati huo. Mlango huo tena ulizidi kusikia ukigongwa nami nikiwa nikiwaza kuufungua au kuachana nao na kurudi kitandani kulalaaaa tu lakini nafsi yangu ilijawa na huruma mno na kuufungua mlango huo kwani nilikuwa nimekwisha nimeoza kwa mtu huyo aliekuwepo mlangoni hapooo, Nae aliingia ndani huku akionekana kuwa na mambo mengi ya kuongeakwani hakuwa mtu mwingine nae alikuwa ni shem Erinest na huku nikiwaza ya kuwa yeye kapajua vipi mahari hapa huku ndilo swali la kwanza ambalo nitamuulizaaa nae ndipo alipoingia na kufika mpaka maeneo ya kitanda na kukaaa huku akiningoja nami nifunge mlango huo na kukaaa kuyazungumza basi nami niliufunga mlabgo huo na kumfata mpaka alipo na kuanza na swaliiii 


"shem vipi mbona sielewi elewi umepajuaje hapa mbona umenishitua sana leo au umekuja na dada Amina ili kuja kunifanya vibaya leo na kama umekuja nae naomba uondoke nae ili asije nifanyia mabaya na kuniletea fujo hapaaa please Erinest"
"Wala Isabela nimekuja mwenyewe hapa na wala siwezi fanya upuuzi kama huo wa kuongozana nae mpaka hapa kwani mimi hapa nimekuja kwa dhumuni langu tu na sio la dada yako amina sawa Isabela niamini mimi siwezi fanya hivyo sawa na kupajua hapa ni siku ile ya kwanza kuonana na wewe ndipo nilipo pajua hapa na kufanya utafiti wangu amabo ulichukua mda sana na kuelewa mda na wakati wa kutoka na kuingia hapa hotelini. lakini samahani sana kama nimekufanyia kitu cha kushitukiza kwani dhumuni langu kuja hapa kwako ni kuyatatua yale yote amabyo yaliokuwa yametokea kwani bado na misi vitu vyako ulivyokuwa ukinipatia nakuomba isabela rudi nyumbani"


Nilibaki nikiwa kimya kidogo isabela mie huku nikiwa kweli hata mimi nilikuwa nimemisi mchezo wa shemeji kwani nilikuwa kwa kipindi kirefu mno sijaonana na jinsia tofauti na mimi kimapenzi.
Nilijawa na changamoto kubwa ambayo shem Erinest aliponisogelea maeneo niliopo kwa ukaribu mkubwa huku akimwa na uchokozi wake shem Erinest alinishika mkono wangu wa kushoto ambao alikuwa kaisha uzoea kuwa wenye nguvu sana na kuteka akili yangu basi nae alitumia nafasi kwani alikuwa kakwisha nizoea mno. Basi alianza kwa taratibu kuuchezea mkono wangu na ndipo alipokuwa akiendelea kwa kipindi kirefu mno huku akizidi nipandisha mashetani yangu yaliokuwa yame lala na kujikuta niko na hali ngumu kwenye mwili wangu kwani hisia zangu zilikuwa zimepamba moto na kusahau yote yale ya nyumaaa, basi ukimya ulitawala ndani hapo huku shem Erinest kweli alikuwa kakumbuka maana alichokuwa akinifanyia kilikuwa tofauti na hari ya kawaida huku nikiwa sina habari huku nikipotezaaa network zote na kuwa na joto kali ambalo hata mimi sikumbuki kuwa ilikuwa vipi.


Erinest alifanikiwa kunivua nguo zangu huku mimi nami nikiwa nimezama kwenye hisia kali na kupelekea kufanya tendo hilo kwani shem Erinest alizidi kupigilia msumali wa hisia zangu na kuniweka kwenye hali ambayo aita msumbua wakati akiweka vitu adimu kwenye shina langu ambalo alikuwahi kuwekewa mbegu kwa kipindi kirefu mnooo huku shem Erinest akizidi kufanya yake ndipo alipofika hatua ya kupandikiza mbegu kwenye shina langu huku nami nikiwa kenye wakati mgumu na kulia kwa furaha ya ajabu wakati akizidi kupandikiza huku furaha hiyo ilikuwa aijawahi sikika kwa kipindi kirefu mno huku nae akionekana kuweka mbegu hizo kwa spidi kali hatariii ambayo ilinipelekea kupiga kelele 
"shem shem shem shem jamaniii utamu shem utamu lakini pole pole shem mwendo huo hatariiii kwa afya yakooo sheeeeeeeeem jaaaamaniiiii pole poleeeeee!!!!!"
Niliimba sauti zote kuanzia ya pili mpaka ya mwisho kwa ule utamu aliokuwa akinipatia na tulichukua mda sana mpaka alipo fika kilele shem Erinest ndipo alipokuwa mpole huku mzeee wa kazi akilala kwa madoido yake huku akiwa amenifurahisha hatari. Alijifuta jasho jingi ambalo lilikuwa likimtoka wakati wa mchezo huo basi nami pindi shem alipotoka juu ya kifua changu nilibaki na kuwa na uwepesi mkali ambao ulinifanya kuwa mchovu sana huku nikibaki nimelala tu kitandani na huku shem nae akiwa amejisahau na ndipo nilipo mkumbusha kuwa mkewe dada amina atakuwa anamuitaji kwani mda ulikuwa umekwisha kwendaaa nae aliingia bafuni na kujimwagia maji lakini alipokuwa akitoka simu iliita nami kuiangalia simu hiyo na kuikuta ni namba ambayo sihifahamu na kumpatia Erinest na nilipo mpatia tu aliiangalia na kuniangalia mimi?

JE? SIMU HIYO ILIOPIGWA ILIKUWA YA NANI NA ALIIPOKEA ERINEST AU LAAAH TUKUTANE KWENYE SEHEMU INAYOFATA 

WHATSAPP GROUP +255 (0) 652486818 only whtsap 


...................S T A R..B O Y...........................
















Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment