Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

storynzuri UTAMU WA TUNDA sehemu ya kumi na nane



.
.
.
UTAMU WA TUNDA SEHEMU YA 18
MTUNZI HANSCHARLZ
INSTAGRAM @hanscharlz @storynzuri
Whtsapp +255 652486818 kwa 5000# tu.
.                         
Ilipishia       
“kweliiii Hans nikuambiye”
“ndio”
.
“na mimba yako” Happy alipokwisha kusema hayo maneno alishanga kumwona kijana Hans akiwa na badiliko kwenye sura yake
“unasemaaa nini Happy” Hans aliuliza tena
“mimba baby”
“mimbaaaa!”
“ndio Hans” Happy alijibu huku akimwona kijana Hans ayuko pale kwa kupokea tukio lile
Hans alisimama na kuanza kuzunguka Getoni mwake huku akimtizama binti Happy ba kuto mmaliza, alishika kichwa chake na ndipo alipotumia dakika nyingi huku akiwaza naye aligeuka na kuongea
“tunafanyaje sasa Happy…..” Hans alimuuliza huku akiwaza wazazi wa binti Happy
“wewe unaonaje” Happy naye alijibu huku akimwachia swali Hans
“uitoeeeee mimba hiyooo…!” Hans alimwambia Happy huku akiwa na msisitizo licha ya binti Happy hakutaka kukubaliana na kile alichosikia kwa wakati ule naye kumjibu kijana Hans
“siwezi Hans………….!”
“uwezi……………” Hans aliuliza kwa hasira
“ndio siwezi kuitoa kwani napenda sana mtoto uwezi jua kama nimepangiwa kuwa na huyu tu na nikimpoteza nitakuwa mgeni wa nani mimi nimelidhia kuwa na mtoto na mimba hiii siwezi Hans” Happy alijibu kwa machungu mno huku machozi yakimtioka, na ndipo kijana Hans akawa mpole na kumfata mahali alipo naye alipomfikia alimkumbatia na kuanza kumbembeleza kwa maneno mazuri na yenye ushauri
.
.
“wazazi wako Happy…….! Naogopa sana wakijua hili swala”
“Hans kwa hilo niachie mimi mpenzi”
“sawa mpenzi…………….!” Hans alijibu kwa kinyonge huku akiwa bado ajiamini amini kwa kile alichosikia kwa Happy kwani kile kipindi mama yake Happy alivyo mwona alimwogopa huku akipata sifa zake mtaani hapo ndipo alipokuwa akichoka………..!
Hans alimwinua Happy mahali alipokuwa kapiga magoti chini na kumpeleka moja kwa moja mpaka kitandani na kumlaza, basi kila mmoja wao hakuwa na mudi yoyote ya kufanya tendaoo kama walichokuwa wamezoe hivyo walichukua masaa mengi wakipiga story huku wakiachana na kile kilichokuwa kimejili wakati ule.
“baby mimi mda umefika nataka kurudi nyumbani…..?”
“mmmmmh sawa Happy”
“okay usiwaze Hans nakupenda sana mpenzi wanguuu usiniache wala kunisaliti” ni maneno yalikuwa yakimtosha huku akifungua mlango kuelekea nyumbani kwao
“okay name sito kuacha mpenzi” naye Hans alijibu huku akiwa jasiri.

Basi happy alielekea nyumbani wakati ule na ilikuwa majira ya jioni jua lilikuwa likizama,
Mama pamoja na Baba Happy walikuwa wamerudi nyumbani na wao walikuwa chumbani wakizungumza juu ya mwanao kutaka kumsafirisha au kumtafutia mchumba wa kumuoa,
“mkewanu mtoto wetu kama nilivyokwisha kukuambia sasa kakua na anaitaji mtu wa kuwa naye”
“ndio mme wangu hilo nalijua sasa tunampata vipi maana mimi simwelewi yule kijana mchafu sijui ndio anatembea na mwanangu maana kama ikiwa kweli mimi siwezi maana nitaaibika sana”
“nawazo kwani nilimpigia rafiki yangu leo tukawa tunaongea lakini kati kati ya maongezi ilionekana yule kijana wake sasa anarudi mjini name nimempendekeza huyo kwani kindi cha nyuma baba yake alipendekeza mwanae atamwoa mwanetu”
“sawaaaa ni kuongea na Happy tu leo”
“yuko wapi sasa….” Baba aliuliza
“atakuwa chumbani mwake” mama naye alijibu
“nenda kaongee nae wewe sawa mke wangu”
“sawa”
.
.
Mama alitoka chumbani na kuelekea chumbani mwa binti yao Happy na alipofika mlangoni mwake aligonga na kuingia ndani, naye happy hakuwemo chumbani basi alitazama kote na kuhakikisha kuwa bado ajaingia ndani basi alitoka chumbani mwa Happy lakini alipokunja kitogo hatua kutoka mlangoni mwa Happy alimwona Happy akija chumbani mwake basi ndipo mama alipoona amgonje afike naye wakae wayazungumze yale aliyokuwa akiyataka baba yake,
“ndio unarudi” mama aliuliza
“ndio mama” naye mtoto alijibu
“na jambo moja nataka kukueleza mwanangu”
“lipi mama” Happy alishituka sana na kumtazama mama yake mara kibao huku macho yakionekana kuwa na uwoga wa jambo alilokuwa akitaka kumwambia.
“usiwe na haraka Happy tangulia chumbani nakuja”
Happy alitangulia kisha mama akafata, naye alipofika alianza kumwaga sela zake pale
“Mwanangu umekuwa sasa na unaitajika kupata mtu wa kukuoa”
“kwanini mama mbona kama mapema sana”
“sio mapema sana kwa umri wako sasa unaitajika upate mtu akuoe”
Happy alifurahi sana nakuwaza kuwa Hans ndio atakuwa mume wake kwani wazazi wake wameona umuimu wa kuwa na mvulana sasa, mara alishangaaa sana pale alipomsikia mama yake kuwa…..!
“baba yako kakutafutia mchumba mwanangu?”
“kanitafutia”
Ndio mwanangu……!” mama alijibu
“mama nitachagua mwenyewe”
“baba yako kaishakuchagulia mwanangu na mtu mwenyewe anarudi leo kutoka uwingelezaaa”
Happy maneno yale yalikuwa hata ayamwingiii akilini huku mama akizidi kumchafua na ndipo alipochukua jukumu la kutoka chumbani hapo na kusema “mama hivyo siwezi”
Mama alibaki akishangaaa kwa binti yake kutoka na kuacha kumsikiliza na kuwaza “haya malezi mpaka lini sasa tunajutia kumlea kama yai”, mama naye alichomoka moja kwa moja mpaka chumbani mwake na kumkuta mumewe kajilaza kitandani, baba Happy alichangaa sana kumwona mkewee akija na hali ile naye ndipo alipo muuliza.
“kulikoni”
“si mwanao huyo”
“kafanya nini?”
“hataki kusikia kuwa tunamtafutia kijana wa kumwoa”
“yuko wapi sasa Happy” baba aliuliza na kujifunga taulo lake na kukasaawa
“katoka chumbani nenda sebuleni utamkuta”
Baba alichomoka na kwenda sebuleni na alipofika alimwoana Happy kakaaa akiangalia video naye moja kwa moja mpaka alipokuwa kakaaaaaa…..!
.

NINI KILITOKEA BAADA YA HAPPY KUMWONA BABA YAKE?
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment