MTUNZI HANS CHARLZ
Instagram @hanscharlz @storynzuri
whtsap +255652486818
SEHEMU
YA TATU
MWANTUMU
ANAJIKABITHI KWENYE MIKONO YA KIJANA KAPILO
Naye KAPILO alipomwona
binti MWANTUMU yuko nyang’anyang’a……………… naye kumvuta pembeni tena na kuzama
pasipo onekana na mtuuuuu na kuanza kumkata kiu aliokuwa nayo “MWANTUMU”, naye
binti MWANTUMU alionekana kuwa na kiu kubwa kweli ambayo ilimlazimu kijana
KAPILO kupeleka mashambulizi ya huwakika kwa binti “MWANTUMU”
“ooooooshi……………………” ni
sauti binti MWANTUMU iliokuwa ikisikikaa kwa mbali pindi wa mechi kali iliokuwa
ikifanywa na kiungo mchezeshaji KAPILO, hatima ya kijana KAPILO kumfikisha
Binti MWANTUMU kwenye kilele cha mlima mrefu aliokuwa akipanda mdogo mdogo
ilionekana pale alipo mkamata kwa nguvu kijana KAPILO na kumpelekea kijana
KAPILO kumfikisha kilele naye kijana kuwa mpole huku akijifuta jasho lililo
kuwa likimchuruzima pindi mchezo ulipokuwa umeshika kasi ya aina yake,
“Mmmmmmh KAPILO wewe”
ilisikika sauti ya MWANTUMU
“Vipi MWANTUMU kunatatizo”
alijibu KAPILO
“Hapana nataka tena
kingine cha mwishoooooo KAPILO” aliongea huku akimtizama KAPILO huku akionesha
kiu yake bado haijakatika atakavyoooooo
“MWANTUMU tutatafutana
kesho kwani sasa nimechelewa nyumbani waona mda umesha kwenda sana” alijibu
KAPILO
“Kimoja tu cha mwisho
KAPILO” binti MWANTUMU alionesha kuwa anahuitaji mkubwa kwa kiu yake
“Kesho ……” alijibu KAPILO
naye kuibeba ndoooo yake na kuanza kuondoka kuelekea nyumbani kake
.
.
Lakini alipo piga hatua
chache tu tena MWANTUMU alimfata na kumshika mahara husika na kuamsha mashetani
ya kijana KAPILO, naye KAPILO kuiweka ndooo chini na kuanza kazi upya ambayo
kazi hiyo haikuchukua mda mwingi mpaka “MWANTUMU” kutangaza ushindi huku kijana
KAPILO naye akionesha ujuzi wake wa kukichezesha kiuno kwa mrembo “MWANTUMU”.
“Hapo nimefurahi sana
KAPILO” MWANTUMU alitoa shukurani zake kwa kukatwa kiu yake
“Okay sawa utanitafuta
basi tena MWANTUMU”
MWANTUMU alimwangalia kwa
jicho kali bila ya hata kummaliza kijana huku akifurahia mchezo aliokuwa kampa
nae akajibu huku akisema
“Okay usijali wewe ten
ahata leo tena naweza kukutafuta”
“Hahahahahhahhaha!!!!!!
acha bwana” KAPILO alicheka nae kumtazama na kuamza kupiga hatua kuelekea kwake
kwani mda kweli ulikuwa umesha kimbia kwani ilikuwa ni mda ya saa tano usiku
kwenda saa sita,
Binti MWANTUMU atoka
mahali pale na kuingia tena kwenye KIGODORO kuendelea na mdundiko, alipo fika
alionekana tofauti mpaka kupelekea mabinti wenzake kutaka kujua nini
kimempelekea mpaka kuwa vile
“wewe MWANTUMU vipi
kulikoni uko na furaha hivi” binti mmoja alimuuliza MWANTUMU
“mmmmmh ampitwiiii na
kitu” MWANTUMU alijibu huku akizidi kuonesha furaha yake
“tuambiye bwana nini
kilicho jili huko utokako” binti huyo aliedelea tena kumuuliza MWANTUMU
“kijana yule ndiyo kanifanya niwe hivi”
MWANTUMU aliwaonesha wenzake
.
.
Mabinti hao walimtizama
sana kijana KAPILO huku nao walihitaji mno kupata kama kile alichopewa
MWANTUMU, naye KAPILO hakuwa na habari yoyote alianza kutoka maeneo yale lakini
njia ilikuwa ni kuipita pale pale palopo kuwa na KIGODORO ili aweze kuipata
njia ya kuelekea nyumbani, basi nae alikaribia na eneo lile huku akiwa nay a
kwake hakujali tena kucheza kwani alikuwa kakwisha tosheka kucheza mpaka hamu
ilimwisha.
Mara alipokuwa akikatiza
alimwona binti mmoja akimwangalia mno nae hakutaka kufatilia sana aliinamisha
macho yake chini na kuendelea na safari, lakini alivyokuwa akizidi kutembea na
kutizama mbele alikutanisha macho yake na binti huyooooo!!!!!......
Ndipo alipo ona hakuna
haja ya kumwogopa nae alizidi kuongeza mwendo na alipo mkalibia tub inti nae
alianza kumsogelea mdogo mdogo huku akimfata KAPILO, na alipo mkalibia tuuuuu
binti yule alionesha hali ya kutaka kitu japo KAPILO alikuwa njia pandaaaa
amwelewi binti huyooooo………!!!!!
Wote wawili walichukua
mda mwingi huku wakitazamana huku kijana KAPILO hakuelewa chochote kile, binti
huyo alimtizama kwa macho ya mlegeo huku kijana KAPILO ndipo alipoelewa kuwa
anataka nini binti huyo, huku wenzake na binti yule walikuwa pembeni
wakimtizama mwenzao ili nao waje kufanya kama akifanikiwa, binti huyo
alimunyooshea kidole chake huku akimwonesha ishala ya kumwita KAPILO ajongeee
maeneo aliyokuwa yeye,
Binti huyo alishangaa
sana kwa kitendo alichokionesha kijana KAPILO ka kumwendea sipidi huku akiwa
ndooo yake kaiweeka pembeni ili awe mwepesi vizuri, alipo mfikia binti huyooo
KAPILO hakutakaa kuchelewesha huku akitaka kumwona yuko na radha ipi nae au
ndiyo ile ile kama MWANTUMU fundi,
USIKOSE SEHEMU INAYOFATA HAPA HAPA?
0 comments:
Post a Comment