Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

NAMALA Sehemu Ya Pili





.
NAMALA 
SEHEMU YA PILI
Mtunzi IG @hanscharlz @storynzuri 
Whatsapp 10000 +255652486818
.
.

Kama hakuwa mtu mkubwa naye alipo pewa mara ya kwanza alifakamia maji yale na kumpelekea binti NAMALA kumsitishia zoezi lile na kujaribu kurudisha chombo chake, hakuweza kukifikisha mpaka sehemu ya mwisho na ndipo ilipombidi afanye maamuzi……………?
.
Alifanya maamuzi ya kumrudishia tena chombo kile ili aweze kunywa tena kwani alimwona akiwa na hamu sana ya kukata kiu yake kwani aliikatisha huku akimtizama sana bwana TUMBAKU…. Basi ndipo alipoishika tena ile chupa na kuanza kunywa huku akichungulia jicho la pili upande mwingine akimtizama binti NAMALA huku akiofia huwenda anaweza kunyanganya tena chupa ile basi aliweza kunywa mpaka dakika ya mwisho alipoona kuwa kalizika naye alishusha chupa ile na kubaki akimtizama binti yule huku akiwa hoi kwani alipokuwa akinywa maji kwa kasi yalimfanya kuonekana kuwa mzito wa kila kitu….
Sauti ya binti NAMALA ilisikika ikimuuliza bwana TUMBAKU
“unatokea wapi husiku huuu”
“kijiji cha hapo jirani”
“kufanya nini”
“kuwatembelea….jamaa zangu”
“umechelewa sana kwani hapa watu wengi mida kama hii huwa kwenye malindo kama hunionavyo mimi hapa”
“samahani sana binti” bwana TUMBAKU alijibu huku akitetemeka na kuanguka nchini huku akimwomba msamaa binti yule
Binti NAMALA alipo mwona bwana TUMBAKU akiwa chini alibaki akicheka moyoni na huku akimtizama bwana TUMBAKU kwa ile hali aliokuwa akiionshe wakati yuko chini….
“sawa lakini usirudie maana hili pori ni kubwa sana na lina kila aina ya wanyama wanao zuru sawa”
“ndiyo…..” aliitikia huku akinyanyuka kwa upole naye tena kusikia sauti ya binti NAMALA…
“unaitwa nani wewe”
“TUMBAKUUUUUU…”
“sawa naitwa binti NAMALA waweza kuniita kwa jina la binti mjanja mjanja”
“nashukuru kukufahamu NAMALA….”
Wivu ulianza kumwingia binti NAMALA kwa wakati ule alipokuwa akiziona six pat za bwana TUMBAKU huku akitamaaani kuzishika lakini hakuweza kwani bwana TUMBAKU alikuwa makini sana kwani alikuwa akizificha ficha naye binti ndipo aliposhika mkono wake na kutoa…………….
.
.
.
Alitoa Kamba huku akiwa na malengo yake basi ndipo alipoona ni vyema kuitumia Kamba ile kumshika nayo ili asiweze kutoka mahali pale kwani aliona ni kile kifuo ndicho ilichokuwa kikimchanganya wakati wote kwani alitokea kukipenda na kukivutia…. Basi ndipo alipoutu Kamba ile na kwenda moja kwa moja kwa bwana TUMBAKU huku naye alikuwa akishangaa kilichokuwa kikiendelea wakati alipokuwa akitupa Kamba ile na kumnasa…
“kulikoni NAMALA…?”
“hapana usijali TUMBAKU….?”
“mbona unanifunga na kama nimekukosea tena” aliuliza huku akibaki amepigwa butwaaa hajui afanye nini na kubaki akimtolea macho binti tu
“hapana husiwe na hofu….. bwana TUMBAKU…”
“unanitisha NAMALA…..”
“Hahahahahahaa Bwana TUMBAKU”
“Kweli………”
Aliendelea kumvuta vuta huku wakionekana kujuana kwa mda mfupi kwani bwana TUMBAKU alionekana kuwa na woga sana naye ndipo alioona anaelekea pasipo sitahiri naye bwana TUMBAKU alianza kujihami huku akishusha mkono wake chini maeneo iliopo siraha yake naye kuifikia na kuanza kuivuta taratibu huku akizani kuwa binti NAMALA hakuona kile alichokuwa akifanya gafra alisikia sauti ya binti NAMALA huku ikimsisitiza kushusha siraha yak echini kwani alikwisha kumwona muda….
“hahaha Bwana TUMBAKU… shusha siraha chini”
“siwezi NAMALA kwa hiki unacho nifanyia”
“hahahahhaa Bwana TUMBAKU mimi siko hivyooo napenda kifua chako”
“mmmh!” mguno wa bwana TUMBAKU ulimfanya kuzidisha kwa kile alichokuwa akimfanyia Binti NAMALA….
“nini sasa wewe”
“hamna kitu” aliitika huku akifurahia kile alichokuwa akikifanya binti NAMALA
“hayo ndio maneno” alijibu huku akiongeza sipidi ya kumchezea na kumvuta Bwana TUMBAKU
Ilifikia mahali mzuka ndipo ulipo mpanda bwana TUMBAKU huku akiwaza ni kwa njia ipi afanye aweze kutatua tatizo alilosababisha binti NAMALA……..
.
Waliendelea kuvutana mpaka hapo binti NAMALA alipo msogeza kwa ukaribu bwana TUMBAKU huku akimpapasa na kumtia hamasa na amsha amsha huku naye bwana TUMBAKU alikuwa ajielewi ni nini afanye kumsogeza vizuri ili atomize haja yake….
“NAMALAAA……….!” Aliita bwana TUMBAKU
“nambie TUMBAKU….”
“unashika wapi huko jamani……” aliuliza huku hisia zilikuwa zimeshafika kwenye ubongo wa kati huku zikingoja kufanya hukumu….
“hahaaaaaa….! Bwana TUMBAKU….. kidogo tu”
“kidogo lakini siunajua madhara yake”
“yapi hayo? Ndiyo nataka unifundishe name niyajue”
“hahahahahahaha……..” alicheka huku akimtizama binti NAMALA
.
.
.
Waliendelea kujibizana huku kijana akitafuta upenyo mzuri wa kumshusha juu ya farasi yule ili amfundishe vizuri licha ya bwana TUMBAKU kufikilia sana na ndipo alipokumbuka kuwa si mbali na pale kuna gofu la nyumba ambalo lilitelekezwa na watu kipindi cha nyuma naye ndipo alipo mwita Binti NAMALA kutaka kumwelekeza mahali pale waende kama ataweza kumkubalia……..
“nawazo……”
“wazo lipi hilo”
“hapa tulipo si mahara salama na unaonaje twende hapo mbele kuna jumba liko tupu”
“heeeee.. hayo ndiyo maneno ni wapi?” NAMALA alijibu huku akionekana kuwa na furaha kwani alijua Bwana TUMBAKU atamponesha kidonda alichokuwa nacho mda mrefu sana..

“twende sasa”
.
.
USIKOSE SEHEMU INAYOFATA HAPA HAPA 
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment