Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

storynzuri UTAMU WA TUNDA sehemu ya ishirini na mbili


.
.
UTAMU WA TUNDA SEHEMU YA 22
MTUNZI HANSCHARLZ
INSTAGRAM @hanscharlz @storynzuri
Whtsapp +255 652486818 kwa 5000# tu.
.                         
Ilipishia
.
“nakwambia lakini mimi ni kijana nakupenda Happy mno”
“kweli nami pia Hans” Happy alijibu huku akitabasamu na kuzidi kuchanganyikiwa huku mawazo yake yote akiwaza ndiye mume sahihi atakaye kuja kumuoa na siyo Clinton…….?
.
Hans alimpapasa papasa maeneo flani mwa binti Happy huku akimfanya kuwa na Amani na furaha wakati akiwa naye, kweli kijana Hans alikuwa fundi wa mapenzi kwani alipoanza kuzichezea chezea nywere za binti Happy huku akiupandisha mkono wake na kuushusha mpaka kona zote za kichwa cha binti Happy, Happy alizidiwa na kujisikia raha kichwani mwake na kumpelekea kulala usingizi kwenye mapaja ya kijana Hans, aliuchapa usingizi mapajani mwa kijana Hans na kumpelekea kijana huyo kushindwa kwenda kwenye mizunguko yake aliokuwa kapangaaa kwani ilimbidi ampeti peti na kumpa masham! sham! Ambayo alijua fika hato chomoka kwenda kwa kijana yoyote bali ni yeye tu.
Ugovi ulizuka mama pamoja na Baba Happy juu ya kukimbia kwa mwanao Happy mahali pasipojilikana huku ikionekana kuwa baba ndiye msababishi…………….!
“umefanya nini mume wangu?” mama Happy aliuliza huku akimsogelea mumeweeee
“mama Happy mbona sijafanya chochote kile licha ya kile nilichokuambia tu juuu ya Clinton na Happy wetu” baba alijitetea kwa mama Happy
“hapana mbona mtoto ka toka mbio hivyooooo?”
“huwenda kile nilichokuwa namweleza ndicho kimemchafua”
“tunampata wapi sasa maana hapa kaishatokomea”
“natoka sasa kwenda kumtafuta”
.
.
Baba Happy alipokwisha kuongea naye alianza kupiga hatua kwuelekea nje ili achukue gari ili akamtafute binti yao, lakini wakati akizikaribia kuta za mlango alisikia sauti ya mama Happy ikimwita.
“mumewanguuuuuu”
“yes sweet”
“ebu ludi na wazo hapa” baba Happy alirudi na kuitika wito wa mama Happy naye kumfata alipo, na kumsikiliza.
“nimekuita mume wangu unaonaje tukimpata Happy tumrudishe kwa UINGEREZA aendelee na masomo yake”
“mmmmmmh na Clinton je? Baba aliuliza kwa mshangao
“mtoto ataki kuolewa na Clinton au ujamwelewa”
“siyo kwamba hivyo mama Happy”
“ilaaaaaa!!!”
“ngoja kwanza nikamtafute nikirudi tutaongea vizuri mke wangu”
“sawaaaaaa!” mama aliitikia bila y ahata kumwelekeza mahala atakapo mpata binti yao
Baba happy alichomoka ndani na kwenda kumtafuta Happy nae alipita kila kichochoro alichokuwa akijua kuwa Happy uwenda atakuwa maeneo yale ila wapi alibaki kuchoma mafuta yake na kumkosa mtoto mpaka jioni aliporudi nyumbani, aligonga mlango na kufunguliwa naye aliye mfungulia mlango ule alikuwa ni Happy mwenyewe, baba alishituka kuona sura ya mwanae mlangoni.
“wewe ulikuwa wapi”
“kwa rafiki yangu? Happy alijibu kwa madoido huku akiuiga mguuu wake chini
“mbona nimezunguka kote sikukuona”
“dady nilikuwa kwa rafiki yangu”
“sawaaaa”
.
.
Baba aliingia ndani na kwenda moja kwa moja mpaka chumbani mwake na ndipo alipo mwanzishia mke wake tifuuuu ambalo lilichukua mda kidogo kumalizika kwani baba Happy alionekana kutopenda kile kwa mwanane na kuamini ya kuwa mama yake ndio atakaye kuwa anahusika kwa kila alichokuwa akikifanya Happy.
Zilipita wiki nne huku Harusi ya kijana Clinton pamoja na Happy ikipamba moto huku wana harusi hao hakuna hata moja aliekuwa akiwa na mazoea yam da mrefu na mwenzake licha ya kukutanisha mara kazaa huku mda mwingi kijana Clinton alikuwa akiutumia kutembea nab inti Happy huku akiwa hafahamu chochote juuu ya binti Happy, Clinton aliona siku zikizidi kuchelewa naye alimwomba binti Happy siku moja watoke huku naye Happy hakuwa na uwezo wa kukata ilibidi ampange siku ili waweze kukutana. Nao walipanga na siku ilipowadia wote wawili hao walikutana mahala faraga nje kidogo na kwao huku Happy mimba ikizidi kushika kasi licha haikuwa ikionekana sana naye alikuwa akivaa nguo zilizokuwa zikiendana na hali yake.
“oooohoooooo! Happy nimefurahi kwa wito wangu kuutekeleza” aliongea Clinton huku akimtizama mtoto mzuri Happy
“nami pia ahsante kwa kunireta mahara hapa”
“lengo nililokuitia Happy ni kuhusu swala langu kwako natumaini kila kitu wakijua”
“Clinton najua lakini?”
“lakini nini Happy”
“mimi siwezi Clinton kuolewa sasa”
“Happy ukisema hivyo wakosea na ndoa imepangwa wiki hiii uoni utakuwa umenikosea mimi pamoja na wazazi wako kwa ujumla”
“kweli Clinton” alijibu Happy huku akiunganisha na fundo la juisi ilikuwa mezani mwake
“fikiria sana Happy napenda tuwe pamoja nawe kwani nimependezwa nae uwe mke wangu”
Happy alishindwa kujibu naye alionekana kwa muoga kwani hakupenda kumsaliti mpenzi wake Hans, naye ilimbidi aombe kuondoka ili awai nyumbani kwani mda waliokuwa wamekutana ulikuwa umekwenda mno, basi naye alichomoka na kurudi nyumbani na alipofika nyumbani alikuta watu wakiwa sebureni wakizungumza naye alipitiliza moja kwa moja mpaka chumbani mwake.
Happy alifika chumbani na kuwaza sana huku akihesabu siku zilizokuwa zimebaki na kuona ni chache kwake kufanya uamuzi aliokuwa akiuona ni uamzi mgumu, ilimbidi apumzike kuondoa mawazo yote ya siku nzima naye kupitiwa na usingizi na aliposhituka tu kulikuwa kumekucha naye alichomoka asubuhi hiyo na kwenda kwa kijana Hans naye alikuwa kajilaza kwa shughuri ya siku iliopita ilionekana kuwa ngumu kwake naye binti Happy alipitiliza mpaka getoni mwa kijana Hans.
“baby…..!”  aliita binti Happy naye kijana Hans kuchungulia kwenye shuka na kumwona ni mpenzi wake
“happy baby!”
“mbona mpaka sasa uko kwenye shuka kurikoni”
“uchovu tu Happy”
Happy aliona kuwa ni vyema kupanda juu ya kitanda ili amfanyie masaage kidogo ili kumuweka kuwa fiti, alianza kumminya minya kwenye mgongo wake…….!
“umejuaje kama naitaji vitu kama hivyoooo!”
“mmmmmh Hans bwana unanifanya sijui mtu akiwa kwenye hali kama yako huitaji nini”
“sawa ndiyo najua leo baby”
“hahahahhahaha sawa” alicheka na kumminya sehemu ambayo kijana Hans alipata raha huku akimwambia
“hapo hapo Happy”


JE NI NINI KINAENDELEA USIKOSE SEHEMU IJAYO?
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment