Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

storynzuri UTAMU WA TUNDA sehemu ya kumi na nne


.
.
.
UTAMU WA TUNDA SEHEMU YA 14
MTUNZI HANSCHARLZ
INSTAGRAM @hanscharlz @storynzuri
Whtsapp +255 652486818 kwa 5000# tu.
.
ilipoishia        
Hans naye alipotupa macho yake kumtazama vizuri alimwona akidondosha chozi na ndipo kushituka kuona yuko na alama kwenye mashavu yake ya vibao. Hans alijawa na jaziba kali sana alipo mwona mpenzi wake nae kufungua kinywa chake………………..?
.
.
“vipi kulikoni mbona mbio mpenzi” aliuliza tena kwa mara ya pili kijana Hans
“unanipenda Hans?” alifungua kinywa chake binti Happy
“yah nakupenda Happy tena sana kuliko unavyo zani mpenzi wangu” alijibu huku akifikilia kuna nini hapooo kana alikuwa akimchanganya kiaina yake naye ndipo alipo mwona binti akimsogelea mpaka kwenye mapaja yake, Hans alishituka sana kwani alikuwa aelewi chochote kilichokuwa nyum ya pazia wakai huo, ndipo binti Happy alikikia tena.
“baby usiniache wewe sasa ndiyo baba yangu na mama yangu”
Hans alishangaaa sana kusikia maneno yale aliokuwa akiyatoa mdomoni binti Happy, huku akishikwa na butwaaa na kumuuliza tena.
“unasema…………………….!”
“inamaana baby ujasikia nilichokuwa naongea” aliuliza binti Happy huku akiyafuta machozi yake yaliokuwa yamegandamana na alama zile alizokuwa kapigwa na mama yake.
“okay nimekuelewaa baby usijali” alijibu vile kumlizisha kuwa kaelewa lakini hakuweza kukamata hata neno moja wapo yay ale aliokuwa kasema binti Happy.
“panda kitandani uniambie vizuri mpenzi wangu” kijana Hans alimpandisha vizuri huku akimkokota mpaka juuu ya kitanda na kumulaza naye alilala chali, na ndipo alipo anza kumpa kisa na mkasa kilicho sababisha mpaka kurudi hapo.
.
.
“baby”
“yes happy”
“nimekimbia nyumbani” Happy alipokwisha kusema vile naye Hans alishituka
“unasema!!!!!!!!! Kwanini sasa umekimbia nyumbani”
“mama sasa anipendi kanipiga makofi ambayo sikutegemea kama mkono wake unge kusa mashavu yangu”
“pole mpenzi wangu lakini umefanya makossa kukimbia nyumbani, utafanya wazazi wako wakutafute mno”
“no baby namuogpa mama kwa kile kitendo alicho nifanyia!” Happy alijibu huku akimshika kijana mahala flani na kuupenyeza mkono wake kunako ikulu ya kijana Hans huku naye Hans akuwa na kipingamizi naye taratibu alijisogeza kwa binti Happy na kumkumbata ili ampe japo joto kidogo. Wakati walipokuwa wamekumbatiana akili ya binti ilipotea network zote na kusahau yale ya nyuma na kuanza kuiwaza ikulu ya kijana Hans, aliivuta kuiangalia kama ipo au lahaaa! Ndipo kijana Hans alishinda kuvumilia na kuruka juuu huku shetani lake likianza kufanya kazi kwenye mwili wake.
“happyyyyyyyyyyyyyyyyy!!!!” aliita kijana Hans
“yes baby…..”
“nini wafanya hapooo!” aliuliza huku akimtizama kwa jicho la kulegea mnooo
“nimekimisi jamani baby!!!!” alijibu huku akivua nguya yake aliokuwa kavaaa maeneo ya kifua chake, naye Hans kutupa macho hisia zilimpanda na kuvuta karibu yake na kumpapasaaa sehemu zote za mwili wa binti Happy.
“baby mimi tayariii hukuuuu”
“okay sogea hapa nikufundishe jinsi ya kukuna nazi..” ni fundisho alilotaka kwenda kumfundisha binti Happy, Hans alimkwatua na mkono wake na kumdondosha chini na kumnyanyua maeneo ya nyuma na kuanza kutupa mashuti amabyo yalimpelekea mpaka Happy kutaka kuzidiwa kwani alikuwa mgeni wa ile staili, alizidi kupeleka mashambulizi langoni mwa Happy na alipotaka kufunga goli ndipo alipoanza kuzichanganya kwato zake chini chini mpaka hapo alipoonekana kuwa kafika mwisho wa goli na kuachia shuti kali lililo pelekea mahafa katoka goli la binti Happy.
“hoooooooooo! Shiiiiiiiiii! Aaaaaai!” ni sauti alizokuwa akisikika Hans alipo piga shuti lake hiloooo
.
.
Happy alishituka pale aliposikia kitu kikipenya kwa kasi na kumkumbatia kwa nguuuvu kijana Hans mpaka hapo alipopata kiyu na kumfanya awe mwepesi basi alimwachia kijana Hans, Hans alitoka juu ya binti Happy na kujitupa kitandani akiwa hoi kwa shughuri aliokuwa kaifanya na ndipo alipo msikia binti Happy.
“mmmh baby wewe ufundi wa leo umeupata wapi?”
“hahahahaha Happy bwana ujazoea ma ufundi yang utu mpaka leo”
“no siyo hivyo baby lakini wa leo komesha hatariii” Happy alimsifu kwa kile alichokuwa wapatiwa na kijana Hans
Baba happy aliingia mitaani na kuanza kumtafuta mwanae mpaka mahali pasipo fikika naye kuona mda umekwenda sana kwani alichoka mno na alitumia akili nyingi na kuona zimefika ukingo na kungoja chombo cha dora kitende kazi yake, basi alipokuwa akirudi nyumbani alikutana na vijana wapatao watatu wakitoka sehemu huku wakiwa chapaka chapa sura zimewadondoka naye aliwaita ili awaulize
“samahani vijana…….”
“bila ya hata samahani mzee eleza shida yako!” kijana mmoja aliyekuwa kalewa kuliko wenzie alisikika akimjibu baba Happy, huku akimwacha na butwaaa na kuanza kujiandaaa kukimbia kwani alipowaona vizuri walivyokuwa alianza kutia uwoga mkubwa kwani mazingira yalikuwa ni mabaya, naye alitizama pande zote nne na kuwajibu.
“nimepoteza mtoto sijui kwenye pita pita yenu mlimwona?”
“huyuuuu! Mzee vipi” ilisikika sauti ya kijana mwingine huku ikiwa kali masikioni mwa baba Happy
Ndukiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii baba HAPPY!!!!!!, alikimbia mzeee nusu avunje nyinga zake huku alifika mahala akapumzika na kutazama nyuma kama wanamfata, “mmmmmmmmm hawa vijana wa sikuizi kazi kweli” aliwaza na kuwaona vijana wale hawafai naye alizunguka njia ya nyuma na kuelekea nyumbani kupata kupumzika.
Alifika nyumbani na kumkuta Johari akiwa sebuleni akitazama Tv naye alipoingia baba Happy alisimama na kuzani karudi na mama lakini alishangaa kumwona yuko peke yake.
“baba vipi mbona umenyongonyea hivyo?”
“we acha tu Johari” alijibu baba Happy
“nambiye name naweza kukushauri kwa kidogo nilicho nacho”
“sijampata mwanangu na mke wangu yuko hospitali mpaka sasa”
“utampata tu mwanao na mama atapona tumwombe mwenyezi mung utu” alijawa na furaha pindi alipo sikia kuwa mama yuko Hospitali na Happy bado ajampata ndipo alipo funga milango yote na kurudi sebuleni na kumuta tena baba Happy bado yuko ajielewe naye ndipo alipo chukuwa nafasi ile ili akakatwe kiu yake, kwani Johari alikuwa amemisi kweli dyudu ya baba Happy kwani alipokuwa akiipata moyo wake ulikuwa naamani sana.
.
.
Alimshika mkono wake na kumkokota mpaka chumbani na walipo fika mlangoni baba Happy alimng’ang’ania mkono wake ili waingie wote chumbani mwake naye Johari akusita kwani walikuwa wapo wawili nyumba nzima, walichoma ndani na walipo kikaribia kitanda kile baba alionekana kuwa na nguvu mno na kumvuta kwa uharaka binti Johari na kumpiga mabusi matatu ya huakika huku akimwacha akishangaaa papo hapo alimchojoa maeneo ya kifua na kuanza kupata kitu rohooo inapenda mpaka hapo alipo mwona Johari akilegea misili ya simba aliye kula nyama mpaka kalala fofofoooo!, ndipo naye Johari alipo shika ikulu ya baba Happy na kuitoa kwnye suruali na kuanza kuipa mazoezi kidogo ili ipate nguvu kiasi,
“hoooooooo!!!!!! Johari” ilikuwa sauti ya baba Happy ikiunguruma pindi Johari akiendelea kufanya yake
Ndipo alipopata nguvu nyingi baba Happy na kumsika Joohari na kumrusha kwenye kitanda…………..?


JE NI NINI KILICHO MKUTA JOHARI ALIPO RUSHWA NA BABA HAPPY USIKOSE HAPA HAPA JUMAA TATU 
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment