Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

storynzuri UTAMU WA TUNDA sehemu ya kumi na tano

.
.
.
UTAMU WA TUNDA SEHEMU YA 15
MTUNZI HANSCHARLZ
INSTAGRAM @hanscharlz @storynzuri
Whtsapp +255 652486818 kwa 5000# tu.
.                   
Ilipoishia
“hoooooooo!!!!!! Johari” ilikuwa sauti ya baba Happy ikiunguruma pindi Johari akiendelea kufanya yake
Ndipo alipopata nguvu nyingi baba Happy na kumsika Joohari na kumrusha kwenye kitanda…………..?
.
.
Alipokwisha kumputa kwenye kitanda baba Happy alimtengeneza vizuri binti Johari huku akimweka staili ambayo hakuizoea naye kuanza kumtembezea kichapo ambacho Johari mwenyewe aliona kuwa baba yuko na mawazo mengi licha kuwa anafikilia vile naye alizidi kumpagawisha baba pale alipokuwa akibadili mapigo, mara juuu mara chini baba Happy hoi.
Waliendelea kupeana raha ambayo kila mmoja alikuwa akijitaidi kumwonesha mwenzake ujuzi japokuwa binti Johari alionekana kuwa kinala wa mchezo ule pale alipo zungusha miuno yake na kumfanya baba Happy kutangaza ushindi mapema, baba Happy alijitupa kitandani huku akionekana kuwa kachoka awezi kwendelea na mchezo huku akimtolea macho binti Johari.
“vipi…..!” aliuliza Johari pale baba alipokuwa akimtizama sana
“hapana nakuangalia tu leo ulikuwaa na speed nyingi heeee”
“hahahahhahahaha….!” Alicheka Johari
“mbona wacheka tena” aliuliza baba
“nimefurai tu kwani leo niko tofauti na siku zote?” aliuliza Johari huku akimpasapasa tena baba ili kama ataweza kumshawishi waendelee na mchezo kwani alikuwa mwingi tena mwenye shauku ya kutaka kuendelea na mchezo wa pili.
“leo umenionesha kuwa wewe ni Johari kweli maana si kwa staili hizo mpenzi”
“mmmmh mbona kawaida tu”  alijibu huku akimshika shika ikulu tena naye baba kuonekana kuwa kachoka hatari na zilipita dadika kaza huku Johari akichezea ikulu ya baba na ilinyanyuka naye baba ndipo alipo pata nguvu na kuanza kuchezea chuchu za Johari huku na kule alimweka vizuri Johari na kuanza kupitisha za chini chini.
“ohoooooooooo! Shiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Yalabi?” ni sauti iliokuwa ikisikika kutoka kwa Johari, huku baba Happy alikuwa akiwa na mwendo mkubwaaa sana huku akimpagawisha Johari na kwa spidi hiyooo! Johari naye alitangaza ushindi kwa baba Happy.
“hoooooooooshi” ni sauti nzito iliokuwa ikimtoka baba Happy wakati akimalizia mchezo wake na alipokwisha kuumaliza naye alijitupa tena kitandani na kulala fofofoooooo!, Johari naye alilala pembeni ya baba Happy mpaka asubui. Kulipokucha wote walichelewa kuamka kwani mchezo waliokuwa wameucheza usiku kucha ulikuwa wa kukata na shoka kwani kila mmoja wao alikuwa akimwonesha mwenzake ujuzi.
.
.
Johari aliamka na kumwacha baba Happy kitandani na kwenda kuandaa chai ya asubui, na alipomaliza alimwita baba Happy na kujumuika mezani.
Happy na Hans walilala mpaka kulipo kucha lakini kile kitendo cha kukimbia kwao kwa kijana Hans hakikumpendeza naye walipokuwa wametulia Hans alichukua nafsi ile kumshauli binti Happy kurudi kwao, licha ya mtoto kung’ang’ania kuka pale huku akiona hali yake kijana Hans…….
“happy baby……………”
“yes Hans nambiye……..” aliitikia Happy huku akimtizama kwa umakini
“nakuomba Happy uludi nyumbani eti baby!”
“No Hans mimi nitaishi na wewe hapa hapa nimeshachagua nyumbani siwezi kurudi nyumbani” aliongea huku akitoa machozi na kumuinamia Hans…..
Basi ndipo Hans alitulia kidogo na kuanza kumbembeleza binti Happy, huku akimpa maneno mazuri yaliomfanya binti Happy mpaka kukubali kile alichokuwa akishauliwa na Hans. Hans alipomwona karudi kwenye hali yake binti Happy alimwomba waongozane mpaka nyumbani kwao, walitoka ndani ya Geto la kijana Hans kuelekea kwao na binti Happy na walipo fika kalibia na maeneo ya kwao nab inti Happy, Hans alianza kuogopa na ndipo binti Happy alipoona kumkazia….
“mbona unaogopa Hans…..!”
“hapana lakini siunajua wazazi wako?”
“wamefanya nini?”
“Huwa awapendi niwe karibu na wewe au hilo ulijui”
“leo unaenda na mimi mpaka ndani”
“Kufanya nini tena Happy hata hapa si panatosha…..”
“inamaana hunipendi…”
“noooo…! Happy nakupenda”
“basi tunaenda wote mpaka ndani…”
.
.
Basi ndipo Hans alipojikaza kiume huku akiwa muoga kwa upande mwingine, walifika mpaka kwenye geti na kusukuma na kuingia huku Hans ajiamini huku woga ukiwa mwingi kwenye mwili, waliingia mpaka ndani huku Hans akishikilia suruluali yake kwani aliisi kuwa unamshuka kwa uwoga ule. Walipofika tu ndani wa kwanza kumwona alikuwa ni baba yake, baba aliweka kikombe chake chini na kubaki akishangaa sana……
“we Happy ulikuwa wapi….” Baba aliuliza huku akimfata Happy mahali alipo
“kwa huyu niliye kuja naye…!” Happy alijibu huku akionekana kuwa na dharau lakini hakupenda kuionesha.. wakati ule na ndipo baba Happy kutupa macho yake kumtazama kijana Hans alibaki akiwa anashanga sana japo siku ya kwanza kwa mdomo wake alimwachia amkate kiu binti yake,
“wewe kijana wewe umefata nini hapa….” Baba alikuja na jaziba kwa kijana Hans
“Babaaaaaa! Huyu ndiye aliye nisaidia mpaka niko hapa” ilisikika sauti ya Happy ikimtetea kijana Hans na kukaa mbele yake kwani kijana Hans alitaka kuchomoka mbio lakini alishindwa pale binti Happy alipomzuia.
“aliye kusaidia!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!” baba alioji huku akimtizama kijana kwa jicho la kibabe
“ndio baba mama yuko wapi? Happy alimuulizia mama huku akiwa mdomo ukimumunya maneno kwani tangu alipopigwa makofi yale yalimfanya kumuogopa sana mama yake.
“mama yako hayupo?”
“kaenda wapi?
“yuko hospital kwani tangu aliposikia haupo nyumbani alianguka gafla”
“hospital ipi”

Happy alipata wasiwasi kuwa mama yake yuko hospital, naye alimshika mkono kijana Hans na kutoka bila ya kuwaaga waliokuwemo ndani na kutimkia hospitali aliyokuwepo mama yake, alipofika aliulizia hodi aliokuwa kalazwa mama yake na kuongozana na Hans basi walipoukalibia mlango wa kuingima mahali alipo mama yake aliufungua mlango na kuingia ndani huku akiwa amemshika kijana Hans, mama Happy alikuwa anaendelea vizuri lakini alipo mwona mwanae alishituka sana na kumtazama yuko na kijana yule yule mchafu ambaye apendi kumwona machoni mwake naye alinyanyuka kwa hasira kitandani hapo na kuanza kupiga hatua lakini chakushangaza…………………….?
.
JE NI NINI KILIENDELEA HAPO USIKOSE MWENDELEZO HAPA HAPA.........
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment