Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

storynzuri UTAMU WA TUNDA sehemu ya kumi na tatu




.
.
UTAMU WA TUNDA SEHEMU YA 13
MTUNZI HANSCHARLZ
INSTAGRAM @hanscharlz @storynzuri
Whtsapp +255 652486818 kwa 5000# tu.
.              
Ilipoishia
.
Hans alitaka kama kuanza zile za sloosloo wakati mwenzake alifika pazuri, ilibidi Happy amwoneshe ishara ya mikono ili aongeze kasi kwa wakati huo. Kasi hiyo haikumchukua Happy sekunde kumi, akapiga kelele na kuzidisha pozi la ajabu...
.
.
Kijana hans alizidisha mashuti yake mpaka hapo alipoakikisha kuwa binti Happy yuko hoi kitandani na kukubali matokeo, naye alipo maliza kutembeza mashuti makali kwa binti Happy alikuwa hoi na kujitupa kitandani kupata mapumziko ili atakapo rudi tu mwendo uwe wa kasi.
“baby weweeeeee” aliita binti Happy
“yes nambye……….!” Alijibu kijana huku akiashiria kupata pumziko la kutosha kutokana na shuhuri ya kutosha aliotoka kuifanya wakati huo basi alimwangalia sana, tena sana Happy huku siku hiyo aliona kuwa yuko mwepesi vya kutosha.
“kingine baby”
“mmmmh kweli….!” Alishangaaa sana kuona tena Happy akidai akatwe kui yake kwani alionekana kuwa siku hiyo yuko free kujiachia kwenye geto la kijana Hans.
“njoooo basi Hans wangu….. usifanye hivyoo!” alimwita tena
Ndipo Hans alipo tulia kidogo na kuinuka tena kwenda kumfanyia kufuru ya kufa mtu binti Happy huku akionekana kuupania mchezo huo. Naye alipo mkalibia alimkamata kwa nguvu zake alizokuwa nazo na kumrusha kitandani naye akifata na kuanza kumtembezea fimbo ambayo Happy alikuwa akisikika akilia kwa sauti ya mahaba ya aina yake huku Hans naye hakujali kwani alimwona akiwa kwenye mudi nzuri, alizidi kumsurubu takiribani dakika 30 huku akimvutia kasi kumwona kama atatangaza ushindi mapema binti Happy, lakini naye Happy alionekana kuwa mgumu pale alipoanza kuweka staili za aina yake ambazo zilimtoa kwenye mchezo kijana Hans huku akiona kuwa kazidiwa mapigo,
Naye kijana Hans aliona achanganye mapigo ili aendane naye sawia, alianza mdogo mdogo huku akiongeza kasi taratibu mpaka hapo alipoanza kukolea na kwenda naye sawa alishitukia akiongeza speed kali na kutulia mwenyewe, huku Happy naye akidondoka kitandani huku akihema kwa speed ambayo ilikuwa kali sana.
“babyyyyyyyyyyyyy! Kwa leo” ilisikika sauti ya Happy ikiongea
“Eti heeee”
.
.
Basi mchezo ule uliokuwa na mvutano wa huku na kule uliishia pale huku hakuonekana nani alikuwa kamtoa mwenzake huku wakijiona kuwa sawa, Happy aliwaza sana kwa kile alichokuwa kaenda kufanya kwa kijana Frank haikuwa anastaili na kumwamini sana kijana Hans ndiye anaye weka kukata kiu yake.
Walivaa nguo zao na kuwaza kutoka ndani kwani geto lake kijana Hans lilikuwa uswahilini sana kila mtu alimwona akimwingiza binti Happy.
“Ebu funua pazia hilo tazama watu nje” aliongea kijana Hans
“sawa” alijibu huku akitembea kuelekea kwenye dilisha alilo ambiwa na Hans
Alitazama huku na kule kuona kama kuna watu wako nje wakiwangoja watoke, naye hakuona mtu yeyote na kumwambia Hans.
“hakuna watu”
“hoooooo basi tutaweza kutoka”
“okay baby” aliitikia binti Happy huku akimshika mkono vizuri Hans huku akionesha upendo mwingi sana, huku akimtazama bila y ahata kummaliza kijana huyo nao walitoka na kuongozana kwenda kwao Happy walikini walipokuwa wakitoka tu walikumbana macho kwa macho na kijana Frank, happy aliinamisha kichwa chake huku kijana Frank alibaki akishangaa sana kuona mtoto mzuri Happy alikuja mwenyewe huku jogooo wake alishindwa kufanya kazi, naye alipo mwona kijana Hans alibaki akijizalau sana huku akimwona binti Happy akiwa mwingi tena mwenye furaha wakati huo.
“vipi baby mbona umeinama chini?” aliuliza kijana Hans
“no nimejikwaa tu hapa naangalia mguuu wangu huppy” alijibu huku akionekana kuwa muongo muongo
“okay sawa”
Alipo kwisha kusema vile naye kijana Hans alitupa macho yake na kuwmona kijana Frank akiwa naye kichwa chini na kubaki akishana pale alipo mwona akitimka mbia bila ya kujua hii wala lile. Frank alitimuka huku akitokomoea pasiko julikana naye Happy alipo pata hauweni ya kunyanyua macho yake na kuendelea na safari.
Walifika maeneo karibia na kwao Happy naye kijana Hans alimuaga Happy na kumwangalia mpaka anapo ingia ndani, Happy aligonga geti lao na ndipo lilipo funguliwa naye Hans kugeuza kwenda getoni mwake.
“dada ulikuwa wapi? Johari alimuuliza Happy
“nilikuwa kwa rafiki yanguuu vipi kwani?” alijibu huku wakiongozana kuingia ndani
“Mama amekutafuta sana mpaka ajielewi yuko ndani”
“kwani baba hakumwambia mama”
“alikutetea lakini kilicho mshangaza anapiga simu yako aipatikani”
.
.
Happy alitangulia kuingia ndani na kumkuta mama yake kaka sebuleni naye mama alipo mwona Happy alishituka sana na kutaka kumfokea, na ndipo alipo simama na kumfata Happy
“wewe ulikuwa wapi?
“kwa rafiki yanguuuuu!” Happy alijibu huku akitetemeka na kushitukia kofi likitua shavuni kwake huku na huku akitaamaki alishanga tena upande mwingine akipokea kofi zito kutoka kwa mama yake.
“mamaaaaaaaaaaaaaaaaaaa” alilia huku akimtizama mama yake na kukimbia chumbani
Mama alipo maliza kumpiga makofi yale mazoto alijutia kwani hasira zilimpeleka kuto taka kusikiliza kile alichokuwa akiongea binti yake.
Baba alifika na kumwona mkewe akilia huku akija kwa kasi kwani naye alisikia makofi yale aliyokuwa akimwagia binti yake, alipofika tu alimuuliza mkewe
“mama happy nini wafanya sasa?” baba alimuuliza huku akimuulizia binti yake alipoelekea
“mumewangu sielewiiiii mimi mkono wangu jamani” mama alijibu huku akitetemeka kwa kile alichokuwa kafanya wakati huo.
Baba alichomoka haraka na kwenda chumbani kwa binti yake na kutazama kote hakumkuta binti yake Happy na kurudi tena sebuleni
“happy kaelekea wapi?” Baba alimuuliza Johari
“sijui baba mimi nilikuwa jikoni mimi”
“itakuwa kakimbilia wapi” Baba mtu alijiuliza maswali na kumfata tena mkeweee
“mama Happy, Happy hayupo sijui kakimbilia wapi?”
Mama alishituka na kudondoka tena chini kwa kupata mshituko wa gafla, Baba alimbeba na kumkimbiza kituo kidogo cha hospitali kilichopo jilani yao, alimfikisha na kufanyiwa huduma ya kwanza. Naye baba alielekea moja kwa moja mpaka kwenye kituo cha polisi kutoa taharifa kuhusu binti yake kupotea kwenye mazingira ya kutatanisha, alifika na kukutana na Afande Mwita
“samahani Afande nimepotelewa na mtoto wangu usiku wa leo”
“okay jaza fomu hiyo hapo na maelezo yote yaliyopo kwenye karatasi hiyo na unipe hapa tuanze kuishugulikia sawa” Afande Mwita alimpa fomu baba Happy
“sawa Afande”
.
.
Alipokwisha kujaza fomu ile nayo aliikabidhi mikononi mwa Afande Mwita na kuondoka kuelekea Hospitali alipo mwacha mkeweee, naye alipo fika hospitalini hapo alikuta madaktari wakijitaidi kumpa huduma ya kwanza mama Happy naye alikuwa kwenye hali nzuri kwani mshituko wake uliweza kutibiwa na madaktali hao.
 Happy alichomoka moja kwa moja mpaka mpaka kwa kijana Hans, na alipofika mlangoni kwa Hans aliingia kama  anakimbwiza na kumkuta kijana Hans yuko kwenye taulo lake kitandani kajilaza huku akiangalia juu. Naye kijana Hans alishangaa sana kuona sura ya mpenzi waki ikirudi tena kwa spidi kali mno
“kulikoni tena kuna mashindano nje” aliuliza kijana Hans
“hapana baby”
“Kuna nini mpenzi” aliuliza tena kijana Hans
Ngoja nipumzike nitakuambia usijali” aliongea huku akilia binti Happy

Hans naye alipotupa macho yake kumtazama vizuri alimwona akidondosha chozi na ndipo kushituka kuona yuko na alama kwenye mashavu yake ya vibao. Hans alijawa na jaziba kali sana alipo mwona mpenzi wake nae kufungua kinywa chake………………..?
.
JE KIJANA HANS ALIZUNGUMZA NINI? USIKOSE HAPA HAPA SIKU YA IJUMAA 
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment