Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

storynzuri UTAMU WA TUNDA sehemu ya ishirini

.
.
UTAMU WA TUNDA SEHEMU YA 20
MTUNZI HANSCHARLZ
INSTAGRAM @hanscharlz @storynzuri
Whtsapp +255 652486818 kwa 5000# tu.
.                         
Ilipishia
Happy alishituka mtu akigonga mlango naye ilimbidi atupe shuka pembeni ili aweze kwenda kuufungua mlango naye alipofika mlangoni alifungua mlango ule……”
.    
.         
Na ndipo alipo mwona mama yake na kuurudisha kwa nguvu huku akizani uwenda mama yake hakumwona lakini mama alikuwa shapu sana na macho yake naye alimwona mwanae Happy na kumwita
“weeeeeeee! Happy fungua mlango” mama aliita huku akigonga gonga tena mlango ule, huku naye Happy ndani alikuwa akijifikilia kuufungua kwani aliogopa sana kumwona mama yake yuko pale na kujiuliza maswali mengi mno. Aliwaza sana mpaka hapo alipoamua kusimama na kuelekea kuufungua mlango ule, aliuufungua na mama yake kuingia ndani huku akimwacha Johari nje
“weeeeeeeeeeeeeeeeee! Happy wewe?
“yes! Mamy” aliitika Happy kinyonge huku akimtizama mama yake
Basi ndipo mama alipoanza kuzungusha macho yake kwenye Geto la kijana Hans na kubaki akiguna na kumwangalia sana binti yake
“twende nyumbani” mama aliongea kwa jaziba mpaka ikampelekea binti Happy kuogopa uwenda ataweza kupigwa naye ndipo alipo mwea na kuwa mdogo kwa mama yake.
“sawa mama!” ni sauti ya bint Happy alipokubaliana na mama kurudi nyumbani
.
.
Happy alivuta mlango na kutoka haraka ndani huku mama yake akiwa nyuma akimwona mwanae alichokuwa akikifanya, Happy alipotoka nje na kumwona Johari yuko nje naye kujiongeza na kuzani ndiye aliye mwelekeza mama yake basi ndipo alipo mpiga jicho baya mpaka kupelekea mfanyakazi wao Johari kushusha macho yak echini, naye Happy kumalizia kwa kumbeza Johari huku akitema mate chini.
Kitendo kile mama Happy hakuweza kukiona kwani wakati binti yake akimfanyia mfanyakazi wao, Basi waliongozana mpaka nyumbani naye Happy alipofungua geti tu moja kwa moja mpaka chumbani mwake na kwenda kujifungia, mama alimfata nyuma nyuma mpaka mlangoni na kukuta mwanae kaubana mlango wake nae kuugona.
“mamaaaa naye” nisauti ya Happy chumbani mwake ikijibizana peke yake
“Happy mwanangu fungua mlango”
“haya mama!!!!!!!!!!” Happy alijibu huku akiwa hataki taki vile hata kumfungulia mama yake mlango
Happy alifungua mlango nae mama kuingia chumbani mwa mwanaeeee!, na ndipo ilipombidi mama Happy kumkalisha mwanae vizuri ili aongeeee naye
“kulikoni mwanangu sikuhizi umebadilika hivi” Mama ilimbidi aende naye pole pole mwanae kwa maswali ambayo hato mfanya mwanae aweze kuogopa
“hamna mama”
“nambiye mwanangu mimi mama yako nimepitia vingi sana na ninavyo kuona kuna kitu kinakusumbua mwanangu nambiye”
Basi ndipo mama alipomweka sawa mwanae Happy huku naye Happy alioona ni nyema kumwambia mama yake kile kilichokuwa kikimsibu.
“kweli mama kuna kitu nashindwa kukuambia?”
“haya niambiye” mama aliongea huku akiwa na hamu ya kutaka kukijua kitu kile
“mimi maaaaaama!!!!!” alijing’atang’ata binti Happy kwa mama yake kutaka kuogopa kumwambia
“nambiye mwanangu nitakusaidia”
“Mimi na mimba mama”
“mimbaaaaaa????” Mama alishituka aliposikia vile na kushika kichwa chake huku akimtizama Happy
“ndio mama”
“usinitanie mimba ya nani au ndio kule ulikokuwa”
“mmmmmmmmmm!” alijiuma uma binti Happy
“sinaongea na wewe” mama aliongea kwa jaziba kali
“ni ya kijana yule mchafu”
“uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Mzaniae kumbe ndiye siye” mama Happy alitamka maneno yale kwani alikuwa akimzania kuwa Johari ndiye aliyekuwa akitembea na kijana Hans kumbe ni mwanae, gafla Johari alikuja mpaka mlangoni na kumwita mama kuwa anaitajika sebureni baba akimwiitaji.
.
.
Baba Happy alirudi huku akiwa kaongozana na timu rafiki yake huku akitaka kufanya mabo haraka juu ya mwanao Happy, walikuwa sebureni wakimngojea mama Happy aje ili wazungumze juu ya mtoto wao Happy.
Mama Happy naye alibaki akijiuliza pindi alipo fatwa na Johari atajibu vipi wakimuuliza mwanae Happy kwani alijua fika tu ni baba Happy karudi na rafiki yake kuja kuyazungumza juuu ya mwanao Happy, mama alichomoka bila y ahata kuongea na Happy huku akitafakari ni kitu gani ataweza kuwajibu wazee wenzake wakiwa kwenye mazungumzo.
“yes mume wanguuuu!”
“nakuitaji mke wangu kuna ugeni mkubwa sana”
“ohhoooo! Karibuni sana ndugu zangu”
“mama Happy hawa ndio wale niliokuambia leo wakati natoka nyumbani”
“ohhhho” sawa
Mama happy aliketi ubavuni mwa mumewe na kusikiliza mjadara uliokuwa ukiendelea kati ya Baba Happy pamoja na rafiki zake. Basi ndipo walipo mkaribisha mgeni hiku akiwa kaambatana na kijana wake naye ndipo walipo mwamulu mama Happy ampeleke kijana chumbani mwa Happy. Naye mama alimwongoza kijana Yule mpaka kwenye chumba cha Happy nae mama kutangulia kuwema mambo sawa.
“mwanangu usiniaibishe sawa anakuja yule kijana”
“mama mimi nimeshakwambia”
“mwanangu huyo ni baba yake”
“mimi nampenda sana Hans mama”
“najua lakini baba yako kaisha kuchagulia mwanangu usiniaibishe sawa”

Mama alikwisha kuongea yale naye kumkaribisha kijana ili aingie chumbani mwa binti Happy naye aliingia na ndipo alipo mtazama Happy kijana yule moyo wake ulikwenda mbio sana….?, na kumsogelea kwa ukalibu binti Happy huku naye Happy alipomwona kijana Yule wala hakuwa na raha yoyote ile ila alitaka kumfurahisha nafsi yake tu.

JE NI NINI KILIENDELEA CHUMBANI MWA HAPPY?
 niko kimya sana lakini mambo ya Elimu yananifanya kuwa bize sana 
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment