Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

storynzuri UTAMU WA TUNDA sehemu ya kumi na sita



.
.
.
UTAMU WA TUNDA SEHEMU YA 16
MTUNZI HANSCHARLZ
INSTAGRAM @hanscharlz @storynzuri
Whtsapp +255 652486818 kwa 5000# tu.
.                   
Ilipishia
Mama Happy alikuwa anaendelea vizuri lakini alipo mwona mwanae alishituka sana na kumtazama yuko na kijana yule yule mchafu ambaye apendi kumwona machoni mwake naye alinyanyuka kwa hasira kitandani hapo na kuanza kupiga hatua lakini chakushangaza…………………….?
.
Mama alidondoka chini na ndipo ilipomlazimu kijana Hans kutoka nje, Happy na manesi walikuwa zamu walisaidiana kumnyanyua mama Happy na kumrudisha tena kitandani huku walipo maliza zoezi lile Happy alitoka mbio kumkimbilia kijana Hans ili kwenda kuzungumza naye kwa kile kilichokuwa kimejitokeza,
Hans alikuwa ana vuka geti ili apate njia ya kwenda kwake basi alisikia sauti ya mpenzi wake ikimwita naye kugeuka kumwona Happy akija mbio, naye ndipo aliposimama na kumngoja mpaka afike amsikilize anasema nini…………..!
“Hans mpenzi wangu usichukie kwa kile kilichojitokeza………!”
“sawa wala mimi sijachukia Happy” alijibu huku akimtizama Happy kiunyonge sana
“okay sawa mda huu unaelekea wapi maana ulivyotoka hapo sikuelewa..”
“ukuelewa nini wakati mama yako hapendi kuniona mimi au kisa niko na hali yangu hii eti Happy?” Hans aliongea huku naye akimtizama sana bnti kwa jicho la upole mno.
“usiseme hivyo kwani mimi ndiye niliye chagua kwa kila kitu ulichonacho mpenzi”
“lazima niseme Happy”
“ukisema hivyo unakosea Hans”
.
.
Happy alikwisha kusema yale maneno machozi yalimdondoka kwani Hans alipokuwa akiongea naye alionekana kuwa anapoteza mda tu kwa binti wa kitajiri huku mchezo ndio uliokuwa ukimbeba kwa bindti Happy, basi ndipo Happy alipomshika mkono Hans na kulala kifuani mwa kijana huyoo, gafla baba naye alifika maeneo yale na kuona tukio zima na kubaki akishangaa na kuwaza nini afanye mpaka mtoto wake aweze kuachana na kijana huyo kwani aliona yaweza kuwa aibu kwa mtoto wao kuolewa na kijana fukara kama Hans japo wanajua kuwa mtoto wao alikuwa ndiyo kafa kaoza kwa kijana yule.
“Happy happy………………………!” baba alimwita mwanae Happy
Happy alishituka kumwona baba yuko upande wa pili akiwatazama wakiendelea kula raha yeye pamoja na kijana Hans, kwani kijana Hans alikuwa ameshafikisha mdomo wake mpaka kwenye lipsi za binti Happy huku akila utamu uliopo kwenye mdomo wa mpenzi wake Happy.
Happy alimwangalia sana baba yake na kubaki hakimtolea macho kwa kile kitendo walichokuwa wakifanya yeye na Hans tena azalani, ndipo baba alianza kuwasogelea na ndipo kijana Hans alitafuta upenyo na kuchomoka mbio kumwacha baba pamoja na Happy huku alipokuwa akifanya mipango ya kuchomoka kijana Hans alimwambia binti Happy “utanikuta Geto jioni”
Happy aliposikia maneno yale akili zote zilimtoka na kuwaza jioni ifike mapema na hakuwaza tena kama baba yake yuko pale, akili zilikuwa mbali mnoo
“weeeee happy sinaongea na wewe?” baba alimshitua kwa kumtingisha tingisha mwili wake,
“baba”
“unafanya nini na huyu kijana si nimeshakukataza au bado aijaingia akilini mwako”
“baba nimeshakuambia kuhusu mtu huyooo na mchango gani kwangu”
Baba alishika kichwa na kubaki akimtizama mwanae kwa majibu aliokuwa akiyapata basi ndipo na kumwona mtoto anachomoka na kuelekea alipokuwa amelazwa mama yake. Happy alifika na kumkuta mama yuko anaendelea vizuri na kukaa pembeni yake huku akimbembeleza na kuuchezea mkono wa mama yake basi ndipo mama alipo zinduka kutoka usingizini kwa kile alichokuwa akikihisi na kuchezewa chezewa mkono wake na kumwona mwanane Happy…
“happy umerudi tena na yule kijana? Mama aliongea huku akifumba macho na kufumbua
“hapana mama kaondoka”
“kwanini sasa mwanangu unafanya hivi”
“nafanya nini mama?
“huoni ufanyacho na kijana yule mchafu unaye fanya usielewe kitu”
“mama lakini mbona yuko sawa tu”
.
.
Hata maongezi na mama yake hawakumaliza naye baba aliingia ndani ya hodi aliokuwemo mama Happy kalazwa naye kufika karibu na kitanda moja kwa moja huku akionekana kuwa mnyongeee mno.
“kulikoni mume wangu” mama alinyanyua kinywa chake kwa shida na kumuuliza mumeweee
“kawaida tu mke wangu vipi unaendeleaje na matibabu” baba alikwepesha swali huku akijua tu endapo ataendelea nayale maswala ya kijana Hans, naye binti Happy atamwalibia baba yake kwa baba yake kwa ule mchezo anao cheza kwa mfanyakazi wao Johari.
“daktali kasema leo unaweza kuruhusiwa na kurudi nyumbani”
“Kweli dady…!” Happy alidakia
“ndiyo mwanangu mama yako leo ataruhusiwa”
“okay! Ni saa ngapi?
“sijajua mwanangu”
Baba alikwisha kusema vile mara daktali naye aliingia na kumfanyia vipimo vya mwisho Mama Happy na kumwandikia dawa atakazokuwa anatumia akiwa nyumbani, baba Happy alikipokea kikaratasi kile na kuongozana na daktali mpaka ofisini kwake na walipofika baba alichukua maelekezo machache.
“mgonjwa wako kwanzia sasa unaweza kuondoka naye”
“sawa daktali….!” Aliitikia baba
Walimchukua mama Happy na kutoka naye mpaka nje na kuelekea nyumbani, walipofika nyumbani walimwingiza mpaka chumbani mwake na kumlaza kitandani japo alikuwa hayuko fiti lakini aliweza kusimama mwenyewe na kutembea tembea huku akifanya mzoezi machache.
Happy alipata upenyo na kuchomoka na kuelekea kwenye geto la kijana Hans na alipofika alikuta kumefugwa na kijana Hans hakuwepo maeneo yale naye kuulizia vijana waliokuwepo maeneo yale na kukutana na kijana Erick alikuwa akipita zake maeneo yale huku akiwa na geto lake pia jirani na kijana Hans, basi naye Happy bila woga alimsimamisha kijana yule na kubaki mdomo wazi licha ya kumsimamisha mwenyewe
“vipi dada?” Erick alimuuliza Happy
“samahani nimechanganya sorry”
Okay sawa” Erick alijibu huku akipiga hatua kuelekea anapokaaa, ndipo binti Happy alisahau kuwa kaja kwa kijana Hans naye alimfatisha kijana yule anapoelekea , naye kufika kwenye mlango wake na kugeuka nyuma nakuiona sura ni ile ile ya yule binti aliyekutana naye mda mchache uliopita alishangaa sana na kumwita.
“karibu…………..”
“Ahsante” Happy aliitikia huku akijing’ata vidole vyake na kuzama kwenye geto la kijana Erick kiulaini, huku ajielewi maana Erick alionekana kuwa kijana mzuri na mwenye kuvutia, alifika na kuketi kwenye kitanda cha Erick huku kichani mwa Erick alikuwa akiwaza juu ya binti yule kuwa na ujasili mpaka kuingia chumbani mwake bila ya woga wowote naye alipata wazo “mmmmh uyu binti kuna kitu anataka name sita laza damu mbichi kaja mwenyewe” ni mawazo aliokuwa akiwaza kijana Erick wakati akimtizama kwa jicho la huba huku akimkonyeza konyeza.
“vipi mrembo”
“poa” aliitikia Happy
“nambiye mtoto mzuri” aliongea huku akimgusa gusa
“wewe tu” Happy alijibu huku akibana mapaja yake na kutetemeka ju!
“Okay sawa” Erick alinyanyuka na kuubana vizuri mlango na kurudi tena kitandani alipokuwa kamwacha binti Happy
Erick hakutaka kulaza damu ile mbichi ya binti Happy kwani alijua tu binti yule anataka nini kwake basi aimshika sana mpaka kupelekea binti Happy kulegea mwili wake wote na kukubali kile alichokuwa akifanyiwa na kijana Erick, alinayua mikono yake yote juuu kwa kuvuliwa nguo yake aliokuwa kavaaa ili kijana Erick asipate tabu wakati akianza kula TUNDA, basin aye alimchojoa nguo zake fasta na kujipanga kwa mashambulizi ambayo binti Happy alikuwa tayari kwa kukabiliana nayo.
“siamni mrembo kama uko vizuri kiasi hichi” alizungumza kwa sauti ya upole huku akizidi kukandamiza mashuti kwa binti Happy
“kweli eeheeee!” alisikika akijibu Happy
“ndiyo maana unakizungusha hatari”
Erick alionekana kuwa zaifu pale alipo piga goal la kwanza na kuwa mchovu huku binti Happy alikuwa akiitaji japo vifike vitatu, alijarubu kupandisha mashetani ya jogoo lake lakini lilishindwa kuwika mpaka kumpelekea binti Happy kujiuliza kuna nini?
“vipi………….! Mbona jogooo lako aliwiki tena”
“mmmmh sijui”
“bwana mimi nataka kingine…?” Happy alianza kudai kwani akulizika na kile alichokuwa kapewa kwani kilionekana kuwa kama chemsha akili naye alikuwa akiitaji kichapo chenyewee
.
.
Alianza kupata aibu pale alipokuwa akitaka kumfanya jogoo wake awike lakini alishindwa mpaka kumpelekea binti Happy kumsukuma na kumwona afai na kumkubuka tena kijana shupavu Hans. Erick alibaki akishika kichwa na kubaki kwenye taulo lake huku akiita naye Happy akutazama nyuma naye moja kwa moja mpaka alitoka nje ya Geto la Erick na kutazama geto hilo mara mbili mbili na kutimkia kwa kijana Hans, alifika na kuukuta mlango uko wazi naye hakutaka kupiga hodi alizama moja kwa moja mpaka ndani na kumkuta kijana akijiandaa kulala kwani mda ulikuwa umeshakwenda hivyo alikuwa ndani ya taulo tu,
“happy mbona umenishitua hivyooo”
“samahani Hans nimechelewa kuja itabidi na leo nilale kwako”
“mmmmh Happy wazazi wako Happy watanifunga mimi”
“wazazi hawawezi niamulia mawazo yangu”
“mmmmh” aliguna na kubaki akimtizama binti Happy huku akimwona akija mpaka alipokuwa kajilaza naye kujitupia juu yake na kumpa busu ambalo lilimchanganya kijana Hans…….!

JE NI KITU GANI KILIENDELEA CHUMBANI USIKOSE SEHEMU INAYO FATA
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment