Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

storynzuri UTAMU WA TUNDA sehemu ya Tano


.
UTAMU WA TUNDA SEHEMU YA TANO
.
MTUNZI HANS CHARLZ
INSTAGRAM @hanscharlz @storynzuri
whtsapp +255 652486818 .
.
.
Ilipoishia “Johari aliingiwa na pepo la ngono wakati huo kwani ilionekana kuwa akuwahi kufanya mapenzi md asana“Nilikuwa sitaki saa zile, sasa nataka,” Johari alimjibu happy huku akimtizama hans  bila woga...“Oya! Ungejikata kwanza nimalizane na dada yako hapa” alisema hans kumwambia Johari kwa Sauti yake ilionesha kama asiyetaka kuzinguliwa na mtu yoyote kwenye mambo yale nae alionesha uanaume wake.”.
.
Basi nae binti Johari aliposikia sauti ya kijana Hans mara moja alikaa kimya na kuinamisha kichwa chake chini na kuondoka mara moja chumbani mwa dada yake happy
Nao wawili waliendelea kula raha chumbani mule huku wakisahau ya kuwa wanaweza kukutwa, lakini lahaa mawazo hayo hayakuwepo kutokana na kile kichapo alichokuwa akikitebeza kijana Hans kwa Happy,
Ndipo iliposikika honiiii ya ganiiii “piiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii”
Johari kusikia vile alijua mama kawasili, nae aliwai kwenda kumfungulia geti.
Alifungua geni na mama kuingiza gari lile ndani na kushuka haraka na kuingia ndani lakini alipo ingia na kufika sebureni tena kwa mara nyingine aliona mfuko ule ule na kujiuliza mtu yule hufata nini ndani ya nyumbaaaa, na ndipo alipo mwita tena Johari
“Johari!”
“abeee mama” Johari alihitika na kwenda moja kwa moja mpaka kwa mama
“We johari unadhani yule kijana atakuwa ameacha mfuko wake amekwenda wapi?”
“Sijui mama.” Alijibu huku akiofia kumwambi ukweli mama happy
“Huyu happy mi simwelewi eleweiiii . Ni juzi tu alisema anamwogopa na akimwona atampiga risasi, leo ujasiri wa kumpokea kaupata wapi?” aliongea maneno yake mama happy huku akikisia kuwa happy yuko na hans
“Sijui mama.” Aliendelea kujibu tu
Basi mama aliona ni budi kukaaa tu maeneo yale huku akiutizama mfuko ule huku akiishiwa na nguvu,
Happy alisikia majibizano kati ya mama pamoja na johari nae ndipo alipoona ni bora kuanza kutafuta njia ya kumtoa kijana hans huku akiwa bado hajalizika kwa kile alichokuwa kapewa na hans wakati huo, ilimbidi binti happy atoke chumbani mwake na ili kuangalia utaratibu wowote atakao weza fanya nae alitoka na kuingia bafuni...
Na ndipo alipo rudi chumbani mwake huu akishika kichwa chake kwa kile alichokuwa kajione,
“Baby, hali ni tete. Mama amekaa sebuleni na mfuko wako ameushtukia hata sijui itakuwaje” aliongea kwa hofu ya kijana hatorudi tena, Na anavyoonekana hana mpango wa kuondoka kwa sababu ana wasiwasi wewe umo humuhumu ndani...
“Da! Sasa itakuwaje happy” aliuliza kijana hans
“We tulia kwanza basi, usitoke humu bafuni mimi naangalia hali ya hewa kwanza.”
.
.
.
Happy alitoka chumbani huku akimficha kijana hans bafunu mwake, na kufika sebuleni hakumkuta mama yake. Nae akaenda jikoni moja kwa moja, akamkuta johari yuko peke yake akiendelea na kupika pika...
“Sikia johari, nitakupa fedha yoyote utakayotaka lakini tu, nataka umtoe yule kijana wakati huu nadhani mama kaingia chumbani.” Aliongea huku akimtizama Johari kwa huruma
“Sawa,” alisema Johari huku akionekana kushangilia kwa chini chini kazi aliyopewa bila ya kujua happy.
“Njoo basi umchukue.” Alimwita Johari waongozane kwenda kumtorosha kijana hans
Happy na johari waliongozana hadi chumbani mwa happy nae happy akaingia moja kwa moja mpaka bafuni...
“Kumbe umeshavaa safi sana. Toka sasa...huyu atakupitisha kinyemela hadi getini, tutaonana siku nyingine, sawa” alisema happy huku akimpa hans fedha nyingi mpaka mwenyewe hans aliogopa hata kuzishika na ndipo happy kuziweka kwenye mfuko wa nyuma ya suruhali yake.
Johari alimshika mkono hans na kutoka naye chumbani, badala ya kumtoa nje kama alivyoagizwa, yeye alimwingiza chumbani kwake.
“Humu hutoki hadi na mimi...” alizungumza huku akiuloki mlangooo wa chumba chake
“Na wewe nini?” alijibu huku akihofia kukutwa na mama happy
“Kwani kule kwa happy ulikuwa unafanya nini?”
“Sasa wewe unaona niko kwenye tatizo mda huuu halafu unaongeza tatizo mwingine, siwezi. Umeambiwa unitoe.” Nae hans alionekana kuwa mgumu
“Basi toka mwenyewe?” alisema johari akijifanya kasusa.
Kusema ukweli uwezo wa hans kutoka bila kujua atakatizia wapi bila kuonekana na mama happy ulikuwa haupo. Alisimama katikati ya chumba na kuanza kuomba...
“Sista nakuomba sana, nipeleke nje tu jamani” alizungumza huku akitia huruma pindi akimwona johari
“Nimesema siwezi, nenda kiaina mwenyewe.” Nae Johari alionekana kuwa anahitaji na pia aliona hatoweza kutoka nae atakubali tu
“Da! Sasa unadhani itakuwaje?, nipe msaada wako kunitoka kwenye hili janga sista”
“Si nimeshasema nenda mwenyewe.” Johari alikuwa na msimamo usiokuwa na mfano huku akingangania neon moja tu
“Basi nirudishe kwa happy.”
“Rudi mwenyewe, si umetoka kulekule, ina maana hupakumbuki?” alizidi kumkazia mpaka hapo hans alipoona yamemfika hapaaaaa!!!!
Hans alijua haja ya johari ni moja tu, apigwe kwata mambo mengine yataendelea yenyewe...
“Hebu njoo basi sista mara moja,” alimuita johari huku akimpelekea mkono wake mahara kunakooo. johari akajikabidhi kwenye mikono simba mwenya hasira kali naye huyooooooo kuanza manjonjo.
.
.
.
Jamaa akamvua nguo chapuchapu akamtembeza mahari alipo kuwa kasimama hadi kitandani kwake, akamlaza na yeye akapanda na kumwanzishia mechi ya haraka haraka huku akikumbuka kuwa ana msara mkubwaaaa kwa mama happy.
johari alikuwa na huruka nyingi na zikionekana kuwa za kitambo mno, hivyo hakuchelewa kutangaza nia jambo lililomfanya hans kuchanganya mashuti kazaaa hatimaye Johari kumaliza mbio zake za mahaba... kwa kijana hans
nae alipo kwisha kumpa kile alichotaka na kuvaaa nguo haraka haraka ili waondoke
“Haya, sema lingine sasa.” Aliongea huku akimtizama kwa jicho zungu dada johari
“Sasa sawa, twende nikutoe.” Alijibu huku akiwa kalizika na kile alichopata
Johari alivaa chapuchapu, akamshika mkono hans. Ile wanatoka tu chumbani, mama happy naye pia anatoka chumbani mwake...
“Ha! We johari mimi nahangaika kujua huyu kijana yuko wapi mpaka aache mfuko wake kwangu kumbe ulikuwa naye chumbani kwako!” mama happy alizungumza huku akiwa sogelea Johari pamoja na hans
Happy aliposikia sauti ya mama yake na maneno aliyokuwa akiyaongea alitoka mbio chumbani kwake na kuelekea sauti ilipokuwa ikisikika ...
“Nini mama” happy aliuliza huku akiwatizama hans pamoja na johari
“Kwanza samahani sana mwanangu, kumbe huyu johari ndiye alimwingiza huyu kijana chumbani kwake. Kusema ukweli mimi nilijua yuko chumbani kwako wewe mwanangu na kama ingekuwa kweli yuko kwako ningeumia sana.” Mama aliongea mbele za mwanae lakini hakujua kilichokuwa kikiendelea
“Mama bwana, mimi naweza kumwingiza huyu chumbani mwangu? Kufanya nini kwanza.”
 .
JE NINI KITAENDELEA USIKOSE HAPA HAPA MWENDELEZO WAKE 
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment