Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

storynzuri sehemu ya therasini shemeji ingiza pole pole

.
.

Sehemu ya therasini 
Mtunzi INSTAGRAM @hanscharlz @storynzuri .
Ilipoishia "hofu yangu kuzulika njiani"
.
Hamkuondoka na usafiri wowote na kurudi mkitembea barabara nzima mkiwa pekeyenu.
"Namshukuru sana mungu kwa kilichotokea kuwaepusha kwa balaaa lolote lillo taka kutokeaaaa juuu yetu basi wewe endelea na kazi mimi nilitaka tu kujua hicho kwani nikishituka mnooo tena sana erinest aliponiambia."
Aliondoka huku alipofika mda hule hofu yangu ikikuwa juuu kwani speed aliyokuja nayo dada amina haikuwa ya kawaida kwani nilihisi tu kafahamu juu yangu na mumeweee erinest mahusiano yako vipi. Mda huo macho yalinitoka pindi alipokuwa akitoka saloon na kushusha pumziii kubwa iliyo sheheni siri kubwa tena nzito kuibebaaaa.
Basi dada amina aliondoka nami niliendelea na shughuri kwani wateja wote walikuwa wakiningoja niwahudumie kwa mda mchache uliotokea basi kila moja nilimuhudumia huku kila nyuso zao zilionekana na huitaji mukubwa wa huduma ambayo mimi mwenyewe nilikuwa siwatoshelezi.
Nilimaliza kwa wote nao walitawanyika makwao na kubaki nikiwa mwenyewe kwani yalikuwa majira ya jioni ambayo ndio mida ya kufunga ofisi basi nikikaaa chini na.kuwaza yale yaliyo pita huku dada amina alipokuja wakati huo na nikihisi tu hatima yangu na erinest za kukamatwa zimefika lakini laaaaaha!!! haikuwa hivyo.
Nikiwaza hayo ndani ya dakika kazaaa na kuyachukulia poa tu! Mpaka nilipofunga na kuondoka maeneo hayo ya saloon.
Nilifika nyumbani na sikumkuta dada amina nae niliyemkuta ni shem Erinest akiwa sebureni nami nilimsalimu na kupitiliza moja kwa moja mpaka chumbani mwangu kubadilisha mavazi ili niingie jikoni kutaharisha chakula basi nilifanya hivyo na niliingia jikoni kupika chakula cha jioni lakini wakati nikiendelea na zoezi la kupika jikoni mara mlango ulisikika ukigongwaaa na kukumbuka ya kuwa mlango nikikuwa nimeukaza na komeo basi nilitoka harakaharaka jikoni na kwenda kufungua mlango basi kumbe hakuwa mtu mwingine nae alikuwa ni dada amina nae aliingia ndani huku akionekana kuchoka mnooo.
Na ndipo alipo niomba nimuwekeee maji ili apate kutoa uchovu aliokuwa nao basi nae aliingia chumbani mwake na kutoka huku akiwa amefunga kanga na kupitia maji kwenda kuoga.
Na alioomaliza alitoka?

Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment