Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

storynzuri sehemu ya therasini na saba shemeji ingiza pole pole

.
.

Sehemu ya therasini na saba 
Mtunzi IG @hanscharlz @ storynzuri
.
ilipoishia "ndio dada na utakuwa umefanya jambo la maana sana kwani wengine"
.
Walilalamika sana vitu vichache lakini wateja wengiii na wengine walilazimika pindi waonapo foleni nao uenda kwenye saloon nyingine.
"Oooook ndio maana nilipoona hayo nilijua tu mdogo wangu basi kesho mimi na safari hiyo na nitaondoka sawaaaaa kufanya hayo mamboooo"
"Sawaaaa dada ninekuelewaaa mno wala sina shaka na wewe fanya tu mpango huooo tufanye kazi vizuri"
Basi siku ikakata kwa kila mmoja wetu kwenda chumbani kulala na kulipo kucha kama alivyo sema dada Amina nilimuona na kabeba mkoba na begi moja nae aliniita pamoja na shem Erinest kumsindikiza mpaka kituo cha mabasi.
Tulimsindikiza mpaka tukahakikisha kapanda gari na liliondoka maeneo ya standi hiyo na kutoka maeneo hayo na mbele ya macho yangu pamoja na shem Erinest tuliliona linaishia basi mimi pamoja na shem tuliangua kicheko kikubwaaaa kweli mpaka watu walitushangaaa na ndipo kushituka watu wakitutizama nasi tuliona aibu japo moyoni furaha ilikuwa imezidi kwa shem lakini kwangu ilikuwa kawaida.
Tulipanda gari nasi kuelekea nyumbani na tulipofika nyumbani tu shem alifungua mlango wa nyumba na alipo maliza alinifata mpaka njeee na kunibeba mpaka chumbani kwani nami nilikuwa mtu mwenye uhuru kwani aliye kuwa aizuia hayo yote ya ujiachia nitakavyo alikuwa kaondoka wala sikupata uwoga kwa kile alichokuwa akifanya shem Erinest.
Erinest kama.kawaida yake alinibwaga kwenye kitandani mwake na kuanza kunisurubisha vizuri ndani ya dakika kazaaa kwani uhuru huo ukitufanya kujiachia nyumba nzima basi na siku hiyo nilichelewa kazini na nikaingia mchana mpaka watu wa jirani na ofisi walinishangaaa sana na zaidi ya kawaida. 
Niliendelea na kazi ya kila siku lakini siku hiyo nilifunga mapema na kuwai nyumbani na nilipofika nyumbani na kukuta siku hiyo shem Erinest kaisha pika basi nami nikibadili mavazi na kuingia mezani kujumuika na shem.
Siku mbili zilikata huku nyumba ikiwa na furaha nyingi mnoo.
Nakumbuka siku hiyo nikiwai kama kawaida nyumbani na kumkuta shem siku hiyo nayo kapika ka kuweka tayari mezani basi aliposikia tu nagonga mlango alikuja speed na kufungua mlang

Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment