Logo Design by FlamingText.com
Logo Design by FlamingText.com

storynzuriSehemu ya kumi Mtunzi IG @hanscharlz @storynzuri

storynzuriSehemu ya kumi
Mtunzi IG @hanscharlz @storynzuri
.
Ilipoishia "alikwisha kusema hayo mteja huyo huku Mimi nikiwa nime baki na alama ya kuukiza ???"
.
Kichwani mwangu huku nikifikiria maneno aliyo kuwa kanipatia yalikuwa mazito huku yakionesha wazi kuwa wanafahamiana na kuna Dada Amina alikuwa tofauti na saloon lakini sikuweza kupata jibu kamili huku nikifikiria sana juu ya maneno yalikuwa magumu na yenye kukirisha MTU huku nikiwa na amini binadamu Wa siku hizi KWA kuchinganisha ni watu waliobobea tena alivyokuwa akionekana nje nilijua tu ni wale wale kasoro tarehee!!! Huku nikiwaza "labda kaona najituma sana na kutia juhudi kwenye kazi nilionayo hapo saloon labda hapendi na aniwekee sumu nipotoke" lakini kwangu hakuweza kama alikuwa na nia hiyo basi
Nikimaliza kumuhudumia mteja huyo kwani haikuwa kazi kubwa sana ya kunifanya nichukue dakika nyingi kwake kwani ikikuwa ya kuziosha nywere zake na kuziwekea ndani.
ili zionekane kwa nzuri na zenye kupendeza.
Nilivyo maliza hivyo mteja aliniaga na kuondoka haikupita mda boss Amina aliingia akiwa kaongozana na MTU mwingine na waliingia na kuketi kwenye ofisi ya boss Amina na kuzungumza haikupida dakika nyingi Mara boss Amina KUTOKA huku sura yake ikiwa tofauti nae mgeni alie kuwa kaongozana nae ae alitoka huku nae sura ikiwa tofauti na alivyo ingia ndani.
Mgeni huyo alikuwa jinsia ya kiume wala sikuelewa kikichokuwa kikiendelea kwani Dada Amina alikuwa akizunguka ndani ya saloon huku akijisemea na nilimwona yule mgeni nae akiwasha gari KWA speed na kuondoka eneo hilo.
Dada Amina alikuwa kama kavurugukiwa akili kwani alionekana kuwa MTU mwenye jaziba kubwa hata nilipojaribu kumsemesha hakunijibu kitu nami nilimwacha atulie kidogo ndipo nitaongea nae gafra alinyanyuka alipokuwa kakaa kwenye kochi na kuniambia
Amina "MTU yoyote akija kuniulizia mwambie sipo nimesafiri"
Isabela "sawa Dada nitafanya hivyo"
Share on Google Plus

About storynzuri

    Blogger Comment
    Facebook Comment

1 comments: